Mshua's
JF-Expert Member
- May 22, 2013
- 801
- 546
Wakuu habari za jioni!
Leo nilikuwa naperuzi kwenye mtandao nikakutana na hii gari aina ya SUZUKI LANDY. Kwa ufupi nimeipenda na nikasema nijichange hadi kufikia mwakani niinunue. Lakini cha kushangaza, hizi gari tanzania hazipo nyingi. Gari ina 1990cc na inatumia mafuta ya diesel lita moja inaenda Km 12 -16. Ina seat 8 na ina milango mitano. Naomba kujua matatizo ya hii gari ni nini hadi watu hawapendi kuzinunua? Nimeweka na picha yake hapo chini.
Leo nilikuwa naperuzi kwenye mtandao nikakutana na hii gari aina ya SUZUKI LANDY. Kwa ufupi nimeipenda na nikasema nijichange hadi kufikia mwakani niinunue. Lakini cha kushangaza, hizi gari tanzania hazipo nyingi. Gari ina 1990cc na inatumia mafuta ya diesel lita moja inaenda Km 12 -16. Ina seat 8 na ina milango mitano. Naomba kujua matatizo ya hii gari ni nini hadi watu hawapendi kuzinunua? Nimeweka na picha yake hapo chini.