Naomba ushauri kuhusu dini

Naomba ushauri kuhusu dini

Simple sana hiyo debate lazima kulikuwa na nafasi ya huyo mzungu ku respond , weka hapa kipisi kilichokatwa
nasubiria

Unatafuta par kukimbilia hupati hicho unachokitafuta ni shubiri zaidi ona mwenyewe ukristo unavyotumiwa kuwadanganya

Nakuwekea unachokitafuta

 
Nilikuwa nakuangalia kama uliisikiliza kumbe unabishana Tu hata hukuisikiliza .
Halafu unakimbia kujibu uzushi wako kuwa Deedat kaongea uongo. Nilikuwekea tofauti ya version Na translate hukuangalia au kiengereza kinakupiga chenga ?
Deedat kafahamisha vizuriy .
Hata sielewi Kama kweli wewe ni mkristo. Mkristo wa kweli habishani upuuzi Na kujibu kipumbavu.

Hiyo full debate ukiisngalia huyo Pastor ni mbabaishaji Kama wewe
🤣🤣 mbona rahisi sana kama uliweza weka hicho kipande , weka na kipande cha majibu ya huyo pastor,
wewe ni muongo muongo kama huyo deetat aliekata majibu ,

sasa nasubiria weka kipisi ulichokata makusudi na kwa nini ukate?
 
🤣🤣 mbona rahisi sana kama uliweza weka hicho kipande , weka na kipande cha majibu ya huyo pastor,
wewe ni muongo muongo kama huyo deetat aliekata majibu ,

sasa nasubiria weka kipisi ulichokata makusudi na kwa nini ukate?
Hii ni debate nzima ona mwanzo mpaka mwisho

Unajifanya kusahau kujibu hivi biblia ya JW huiamini ?


 
Hii ni debate nzima ona mwanzo mpaka mwisho

Unajifanya kusahau kujibu hivi biblia ya JW huiamini ?


Hii inasema Is Jesus God
ile ilisema Different Bibles, je ndio moja? ili nisipoteze muda kuangalia
 
Hii ni debate nzima ona mwanzo mpaka mwisho

Unajifanya kusahau kujibu hivi biblia ya JW huiamini ?



IPI ni ipi umeleta
different bibles
Is Jesus God
an hii Is the bible word of God
 
Hii ni debate nzima ona mwanzo mpaka mwisho

Unajifanya kusahau kujibu hivi biblia ya JW huiamini ?



Toa maelezo ipi ndio inamajibu ya Different bible
Umeweka debate tatu
1.Different bible ya 2013 ambayo ni kipisi ndio nimekutaka kuweka kipisi kilichokatwa ambacho kinamajibu ya madai ya deedat
2. Is Jesus God - dabate ya 2014
3.Is the bible word of God - dabate ya 2011
 
Hupotezi muda Kama unatafuta kuweka uongo wa Deedat
Acha janjajanja , wewe ni muongo kama deedat
Umeweka debate tatu
1.Different bible ya 2013 ambayo ni kipisi ndio nimekutaka kuweka kipisi kilichokatwa ambacho kinamajibu ya madai ya deedat
2. Is Jesus God - dabate ya 2014
3.Is the bible word of God - dabate ya 2011
 
Anza Na hii ndiko Kule ulipotuletea mata go pori kuwa jamaa ni muongor



1.Different bible ya 2013 ambayo ni kipisi ndio nimekutaka kuweka kipisi kilichokatwa ambacho kinamajibu ya madai ya deedat
2. Is Jesus God - dabate ya 2014

nataka kipisi alichokata deedat
 
Acha janjajanja , wewe ni muongo kama deedat
Umeweka debate tatu
1.Different bible ya 2013 ambayo ni kipisi ndio nimekutaka kuweka kipisi kilichokatwa ambacho kinamajibu ya madai ya deedat
2. Is Jesus God - dabate ya 2014
3.Is the bible word of God - dabate ya 2011

Mbon
1.Different bible ya 2013 ambayo ni kipisi ndio nimekutaka kuweka kipisi kilichokatwa ambacho kinamajibu ya madai ya deedat
2. Is Jesus God - dabate ya 2014

nataka kipisi alichokata deedat

Mbona wewe mbabaishaji Si ukitaka debate Nzima ndio nimekuwekea hii Sasa unarusha ngumi hewani Kama wale wayahudi wa wakati wa Yesu

 
Mbona wewe mbabaishaji Si ukitaka debate Nzima ndio nimekuwekea hii Sasa unarusha ngumi hewani Kama wale wayahudi wa wakati wa Yesu


Amejibu vizuri kabisa , ndio maana ulikuwa umekata ukiogopa sehemu ya majibu, ndio uongo wako na deedat mlioufanya wa kukata majibu
 
Amejibu vizuri kabisa , ndio maana ulikuwa umekata ukiogopa sehemu ya majibu, ndio uongo wako na deedat mlioufanya wa kukata majibu
Baada kusikiliza dakika mbili video ya zaidi ya Saa moja ? Hongera sana

Sasa weka Huo uongo uliosema


Umekimbia tena kujibu ikiwa unaiamini biblia ya JW au la ?
 
Hakuna kulazimishana katika dini ya uislam, u are free to choose...
 
Baada kusikiliza dakika mbili video ya zaidi ya Saa moja ? Hongera sana

Sasa weka Huo uongo uliosema


Umekimbia tena kujibu ikiwa unaiamini biblia ya JW au la ?
Umeshajibiwa vizuri nini kilitokea kwenye ku translate, nimeenda kwenye majibu , na wewe pia ulikata makusudi ili usambaze uongo

Siamini JW na maandiko yao yote
 
Hakuna kulazimishana katika dini ya uislam, u are free to choose...
Koran 9:5. Na ikisha miezi mitukufu basi wauweni washirikina popote mwakutapo, na washikeni na wazungukeni, na wavizieni katika kila njia. Lakini wakitubu, wakashika Sala, na wakatoa Zaka, basi waachilieni.....
 
Umeshajibiwa vizuri nini kilitokea kwenye ku translate, nimeenda kwenye majibu , na wewe pia ulikata makusudi ili usambaze uongo

Siamini JW na maandiko yao yote

Nimejibiwa Sawa mbona unakimbia kusema Huo uongo ? Video ya zaidi ya Saa kujibu kwa dakika mbili ?
 
"Muhammad said: 'Whoever changes his religion, kill him.'"Sunan an-Nasa'i 4063

Sunna an nissaa ni kitu gani unavyofahamu wewe
Hivi biblia yako unaiamini ? Na ni ipi ?
Usikimbie Tafadhali
 
Back
Top Bottom