Kwanza nakupa pole sana, umesema umesoma madrasa na unaijua Dini ya kiislamu? Kwa mtu anayeijua Dini ya Kiislam hawezi kuja kuomba msaada hapa jukwaani, naamini wewe ungekuwa msaada kwa wengine kuwaingiza kwenye Uisilamu.
Kama kweli ulichokifanya unakijua na malipo yako utakuwa unayajua baada ya kufa kaburini na siku ya kiaama. Kibaya zaidi unadiriki hata kuwapotosha watoto zako wakati wazazi wako wamekupa kheri zote? Nimejaribu kuandika lakini nashindwa kuuendelea, angalia wanaokupotosha wanakwambia Dini zote ni sawa, wapi na wapi? Nenda kwa wazazi wako ukawaambie kuhusu msimamo wako nadhani watakusaidia zaidi