Naomba ushauri, kila nikipanga mipango haitimii

Naomba ushauri, kila nikipanga mipango haitimii

don't underestimate the power of salt, especially stone salt (kidding), namaanisha chumvi ya mabonge.

Halafu kuna mti mmoja siufaham jina, kesho nikikumbuka nitapiga picha nipost maana upo hapa hapa ninapoishi. Mzizi wake noma kwa kusafisha nyota.

WAFIA DINI TAFADHALI PITENI KIMYA KIMYA
Upo sahihi sana hapo kwenye sentence ya mwisho.

Wafia dini wanasema Riziki haivutwi kwa kamba acheni kupotosha watu jamani.

Kuna kuna Misemo ambayo sikubaliani nayo.
1.Riziki haivutwi kwa kamba
2.Aliye juu mngoje chini.
3. Kama ipo, ipo tu wakati huo huna juhudi zozote za kupambania ndoto yako.

Ukibakia kuamini hyo misemo nakuambia utakuwa msindikizaji tu hapa duniani na NYOTA yako itatumiwa na wengine.

Jamani haya mambo ya GIZA yapo Sana'a tu. Watu wanapokonywa NYOTA zao na wanabakia kuteseka tu.

Ushauri wangu kama we we ni Mumini wa Dini basi kuwa mumini kweli kweli na uifahamu Imani yako (DINI yako) kinagaubaga unaweza kutoboa kwa sababu Dini imeleza kila kitu.

Lakini kama unaimani ya DINI ya kurithi kutoka kwa wazazi huijiui vizuri vyema ukajikita na Upande wa pili itakusaidia.

Mshana Jr namuelewa sana.
 
Bac
Nilikuwa na tatizo kama lako sasa nimeshakuelewa kinachokusumbua.
Kabla sijaanza kukupa somo nahitaji kujua wewe ni kabila gani?
Hapo kuna matatizo ya aina mbili yanayohusiana na hiyo shida yako.
1.Mizimu ya kwenu
2.Mambo ya majini/masheitwan
Ukinipa background yako ndio nitaconfirm kinachokusumbua

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Bac mi nakuchek pm
 
Upo sahihi sana hapo kwenye sentence ya mwisho.

Wafia dini wanasema Riziki haivutwi kwa kamba acheni kupotosha watu jamani.

Kuna kuna Misemo ambayo sikubaliani nayo.
1.Riziki haivutwi kwa kamba
2.Aliye juu mngoje chini.
3. Kama ipo, ipo tu wakati huo huna juhudi zozote za kupambania ndoto yako.

Ukibakia kuamini hyo misemo nakuambia utakuwa msindikizaji tu hapa duniani na NYOTA yako itatumiwa na wengine.

Jamani haya mambo ya GIZA yapo Sana'a tu. Watu wanapokonywa NYOTA zao na wanabakia kuteseka tu.

Ushauri wangu kama we we ni Mumini wa Dini basi kuwa mumini kweli kweli na uifahamu Imani yako (DINI yako) kinagaubaga unaweza kutoboa kwa sababu Dini imeleza kila kitu.

Lakini kama unaimani ya DINI ya kurithi kutoka kwa wazazi huijiui vizuri vyema ukajikita na Upande wa pili itakusaidia.

Mshana Jr namuelewa sana.
Nimekuelewa mkuu
 
Hapo kwenye ndoto....sijui maana yake nini. Nami naota sanaaa mara kwa mara nipo shule yani katika siku 7 basi 5 naota nipo shule. Tusubiri wataalamu

Pole kwa yanayokusibu
Umerogwa&Umeibiwa nyota,wakat unasoma ulikua unapenda sana sayansi na hisabati masikini Ila unaona kktu unachofsnya hakiemdani ma ndoto yako..
 
Nimesoma comments zote, binafsi naanini mpaka leo hujapata suluhu! Haya maisha haya kwa kweli usipokuwa makini utasumbuka sana! Natamani niseme jambo ila nahisi hutoliamini, kama utaweza basi nicheck pm!
 
Mpaka hapa ambapo umeshajua tatizo lako tayari hiyo ni fanikio la kwanza. Yaani ile tuu kutambua kwamba una tatizo ni one step forward. Fanya hivi anza upya kwa kutumia mwezi mzima kujiuliza what do you want in life? Tafuta note book yako na kila linalokujia liandike humo, hata yakifika 100. Ukiona huna wazo jipya ila ni yale yale uliyoandika yanajirudia basi jua yameisha kichwani mwako. Tafuta karatasi kubwa kama flip chart uyaandike yote Kisha bandika ukutani chumbani kwako ambapo hata ukiwa kitandani unayaona. Next ni kuyachuja, yaani kila ukiingia chumbani au ukiwa kitandani na kuyaangalia utaanza kuona yaliyo muhimu sana kuliko mengine. Mwishowe utabaki na machache ambayo unayawaza sana, hapo chagua matatu tuu kwanza ili ndiyo yawe malengo yako makuu. From there weka time frame kulingana na resources ulizonazo (time, money etc) weka nguvu zako hapo kama vile unavyo weka nguvu na muda kwenye simu yako. Kila baada ya miezi michache mpaka sita check progress, na mwisho wa mwaka fanya evaluation... Kila la kheri
 
Habari za muda ndugu zangu.
Hope weekend yenu imekaa njema
Wacha nisipoteze muda niingie kwenye mada.

Mimi ni kijana ambae nimekuwa nikihangaika sana kwenye mambo yangu lakini huwa sifanikiwi inshort huwa nina mipango mizuri mno lakini haijawahi kufanikiwa, unaweza kuongea na mtu akakuahidi jambo fulani ila mwisho wa siku atakuja kukukataa tu.

Yaani Jambo nalianza vizuri but mwisho wa siku huwa ni kufeli tu mpaka huwa najiuliza huwa nina mkosi gani, hata kwenye mahusiano nimekuwa ni mtu wa kuhangaika tu. Maana sijawahi kutulia kwenye mahusiano na mtu hata kwa mwezi mmoja.

Kuna mtu akaja kunishauri niende kwa wataalamu basi nikaenda kwa mtaalamu mmoja akaniambia nyota yangu imechukuliwa ndio maana kila nalofanya haliendi.

Nikamuuliza bei akaniambia nimpe 120k, nikampa hiyo hela akanipa madawa nikaogea nikamaliza but sikuona mabadiliko mpaka sasa mambo yangu bado magumu halafu mara nyingi huwa ninasumbuliwa na ndoto za kuwa shuleni tena primary na classmate wangu niliomaliza nao kitambo kile. Sasa sijui nina shida gani ndugu zangu naombeni ushauri nini nifanye ili mipango yangu iweze kwenda maana naona kama nina nuksi.
Pole mkuu kikubwa usikate tamaa na pia endelea kumuomba Mungu
 
Nimesoma comments zote, binafsi naanini mpaka leo hujapata suluhu! Haya maisha haya kwa kweli usipokuwa makini utasumbuka sana! Natamani niseme jambo ila nahisi hutoliamini, kama utaweza basi nicheck pm!
Nakuchek bro
 
Back
Top Bottom