Banjuka
JF-Expert Member
- May 7, 2021
- 1,006
- 1,931
Pamoja na hayo lakini maisha siyo kurelax, maisha ni vita kila siku, unapopitia huko unajifunza kuwa mgumu siku za mbeleni kwa sababu hakika hakuna atakayekuja kukuambia fanya hivi ama vile, Wewe mwenyewe ndio dereva wa maisha yako, hivyo usimpe mtu mwingine akuendeshee maisha yako. Unayo nafasi ya kuchagua, Muweke Mungu kila hatua unayopiga, hata kama umepoteza hio pia ni hatua maana wakati mwingine hutarudia kosa kama ulilowahi kufanya siku za nyuma.
Jiamini hakuna mamlaka yeyote ya kipepo yenye itakayofakiwa kuvuruga maisha yako ikiwa unamuamini Mungu wa Mbinguni.
Jiamini hakuna mamlaka yeyote ya kipepo yenye itakayofakiwa kuvuruga maisha yako ikiwa unamuamini Mungu wa Mbinguni.