Naomba ushauri, kila nikipanga mipango haitimii

Naomba ushauri, kila nikipanga mipango haitimii

Nimesoma comments zote, binafsi naanini mpaka leo hujapata suluhu! Haya maisha haya kwa kweli usipokuwa makini utasumbuka sana! Natamani niseme jambo ila nahisi hutoliamini, kama utaweza basi nicheck pm!
Weka hapa watu wote wajifunze
 
Weka hapa watu wote wajifunze
Tatizo la hapa kuna watu kwa imani tofauti tofauti, kuna mtu anaweza kuona jambo na kwa imani yake akaliona la kipuuzi na mpaka akawatoa wahitaji kwenye reli katika utekelezaji wa kufunguliwa kutoka katika nguvu za giza ziwatesao!
Kama jinsi utibuvyo tatizo la njaa kwa kutumia mimea na matunda, waweza pia kujitibu maradhi na matatizo yasababishwayo na nguvu za giza kwa mimea!
Ni suala ya elimu tu japo elimu hiyo yaweza kuvurugwa na watu wenye nia mbaya mpaka ikakosa maana na kupoteza usikivu na uzingatiaji wa kuitumia! Niliyemwelekeza naamini ipo siku ataleta mrejesho na panapo majaaliwa, mhusika kwa mada hii akileta mrejesho, nimemwambia na kumruhusu kuiweka hadharani elimu hiyo kwa wote maana wengi kwa wakati huo watasadiki!
 
Tatizo la hapa kuna watu kwa imani tofauti tofauti, kuna mtu anaweza kuona jambo na kwa imani yake akaliona la kipuuzi na mpaka akawatoa wahitaji kwenye reli katika utekelezaji wa kufunguliwa kutoka katika nguvu za giza ziwatesao!
Kama jinsi utibuvyo tatizo la njaa kwa kutumia mimea na matunda, waweza pia kujitibu maradhi na matatizo yasababishwayo na nguvu za giza kwa mimea!
Ni suala ya elimu tu japo elimu hiyo yaweza kuvurugwa na watu wenye nia mbaya mpaka ikakosa maana na kupoteza usikivu na uzingatiaji wa kuitumia! Niliyemwelekeza naamini ipo siku ataleta mrejesho na panapo majaaliwa, mhusika kwa mada hii akileta mrejesho, nimemwambia na kumruhusu kuiweka hadharani elimu hiyo kwa wote maana wengi kwa wakati huo watasadiki!
Humu kuna watu wa aina zote.
Kama ukisemacho kina ukweli watu watakiona akipinga mmoja haina madhara.
 
don't underestimate the power of salt, especially stone salt (kidding), namaanisha chumvi ya mabonge.

Halafu kuna mti mmoja siufaham jina, kesho nikikumbuka nitapiga picha nipost maana upo hapa hapa ninapoishi. Mzizi wake noma kwa kusafisha nyota.

WAFIA DINI TAFADHALI PITENI KIMYA KIMYA
Mti gani huo
 
Kuna mti mwingine unaitwa kivumbasi ule majani yake hutumika kama dawa ya mbu pia hutumika kwa kazi ya kusafisha nyota.
Lakini shida ya hizi dawa huwezi kupata suluhisho la kudumu mpaka ujue chanzo cha tatizo lako.
Mimi mwenyewe nilihangaika sana karibu miaka 10 napigwa hela na wataalamu nikaja kugundua mwishoni sana chanzo cha tatizo

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Unagunduaje chanzo Cha tatizo Mana mambo aliyosema mleta uzi nami yananikabili ivyo ivyo. Na wasi wasi kama Kuna uchawi au ancestral energy
 
Usipende Sana waganga watakugeuza mteja.
Ukiwa masikini ukienda kwa mganga anachukua nyota yako anawauzia wenye pesa.
Mganga na fundi simu wote ni wezi wa Hard Disc za watu.Fundi simu uchukua kizima ukufungia kibovu Ili kesho urudi.
Muhimu simama kama wewe tafuta vitabu vya mafunzo ya positive power, positive thinking.
Ujitibu mwenyewe tatizo lako.
Tafuta person mentor wakushauri au wafikrie badala yako Ili kufanikisha mambo yako.
Kama ufanikiwi jambo lifanikishe kupitia kwa mtu mwingine unayemuamini.
Waganga hawana msaada.
Hii Mbinu nimeanza kuitumia , ili nijitibu ila Kuna vitu vinauzwa bei
 
Pole sana, kinachokukwamisha mipango yako ni hizo ndoto za zamani unazoziota, zikimaanisha kuna vifungo ulivyofungwa huko na unahitaji hatua ya haraka sana kufunguliwa ila upate kuona mafanikio ya hayo unayoyafanya na kuona yanatimia na kufika mwisho.
Kinachotakiwa sio kwenda kwa waganga wa kienyeji ila ni kumuamini Mungu na kumuomba akufasirie hizo ndoto(Mwanzo 40:8)na akufungue kutoka kwenye vifungo vinavyokufunga kutoka hizo ndoto kwani Mungu wetu ni mwaminifu sana na atakusaidia.(Isaya 51:14)
Mungu akusaidie kwa kadiri ya neema zake, Ahsante.
 
Kuna mti mwingine unaitwa kivumbasi ule majani yake hutumika kama dawa ya mbu pia hutumika kwa kazi ya kusafisha nyota.
Lakini shida ya hizi dawa huwezi kupata suluhisho la kudumu mpaka ujue chanzo cha tatizo lako.
Mimi mwenyewe nilihangaika sana karibu miaka 10 napigwa hela na wataalamu nikaja kugundua mwishoni sana chanzo cha tatizo

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Kivumbasi unakifanya vipi mkuu
 
Hata Mimi nilishawai kujihisi hivyo kwamba uenda Mambo yangu hayako sawa ...coz nilikuwa napata shida kuacomplish mipango yangu but nimegundua tatizo ni kukosa ujasiri wa kufanya Jambo..Yani iliufanikishe Jambo lako inahitaji unuwie uvae ujasiri na umshirikishe mungu..nimefanya utafiti nimegundua tunashindwa kufanikisha Mambo yetu kwa sababu ya nadharia mbili Kama kukosa ujasiri na kuwa na mipango mingi kwa wakati mmoja......usiwaze kuwa labda umelogwa kwenda kwa mganga ni kuongeza matatizo badala ya suluhu...coz mganga ukija kwake anakusajiri kwenye leja yake...then naye anakuwa anakutupia majini ili urudi Mara kwa Mara...so Cha msingi ukipanga Jambo lako nuwia na vaa ujasiri na mshirikishe mungu ...daudi alivaa ujasiri akampiga Goliath..Kama waganga wanaleta mafanikio Basi watu wa pwani wangefanikiwa but most of them ndio maskini wa kutupwa ..mwamini mungu na pia muombe...
 
Hata Mimi nilishawai kujihisi hivyo kwamba uenda Mambo yangu hayako sawa ...coz nilikuwa napata shida kuacomplish mipango yangu but nimegundua tatizo ni kukosa ujasiri wa kufanya Jambo..Yani iliufanikishe Jambo lako inahitaji unuwie uvae ujasiri na umshirikishe mungu..nimefanya utafiti nimegundua tunashindwa kufanikisha Mambo yetu kwa sababu ya nadharia mbili Kama kukosa ujasiri na kuwa na mipango mingi kwa wakati mmoja......usiwaze kuwa labda umelogwa kwenda kwa mganga ni kuongeza matatizo badala ya suluhu...coz mganga ukija kwake anakusajiri kwenye leja yake...then naye anakuwa anakutupia majini ili urudi Mara kwa Mara...so Cha msingi ukipanga Jambo lako nuwia na vaa ujasiri na mshirikishe mungu ...daudi alivaa ujasiri akampiga Goliath..Kama waganga wanaleta mafanikio Basi watu wa pwani wangefanikiwa but most of them ndio maskini wa kutupwa ..mwamini mungu na pia muombe...
Ahsante brother
 
ushauri wa kitaalamu hii hapaaa

1. usimwambie mtu yeyote jambo lako, hadi ulifanye, hataa demu wako piaa usimwambie keep your secret (Mungu anakupa wazo bila ya mtoto yoyote kujuaa, wewe unaendaa kuwaambiaa hao watu, basi Kwa hali hilo jambo nguvu yake itaishaa, next utaanza kusemaa unaligwaa, hapana unajilogaa

2. time, time, time ( things take time, usitake mafanikio ya haraka haraka)


bye bye bye
 
Pole sana, kinachokukwamisha mipango yako ni hizo ndoto za zamani unazoziota, zikimaanisha kuna vifungo ulivyofungwa huko na unahitaji hatua ya haraka sana kufunguliwa ila upate kuona mafanikio ya hayo unayoyafanya na kuona yanatimia na kufika mwisho.
Kinachotakiwa sio kwenda kwa waganga wa kienyeji ila ni kumuamini Mungu na kumuomba akufasirie hizo ndoto(Mwanzo 40:8)na akufungue kutoka kwenye vifungo vinavyokufunga kutoka hizo ndoto kwani Mungu wetu ni mwaminifu sana na atakusaidia.(Isaya 51:14)
Mungu akusaidie kwa kadiri ya neema zake, Ahsante.
Ahsante brother
 
Kivumbasi unakifanya vipi mkuu
Unaloweka kwenye ndoo yenye maji,unaufikicha kama unafua nguo maji yakibadilika rangi na kuwa kijani unaenda kuyaoga.
Pia kuna nyasi fulani nyembamba jina silijui huwa zinasambaa porini kama senyenge/wavu pia hutumika sawa na hii kivumbasi.
Ukishindwa hivi vyote tumia chumvi ya mawe changanya kwenye maji ikiyeyuka kaoge rudia kwa siku 7 asubuhi na jioni.
 
Back
Top Bottom