Naomba ushauri juu ya hili Jambo linanipa changamoto sana

Sep 10, 2019
17
15
Kwema ndugu zangu!!

Ninachangamoto imekuwa ikinipa mawazo Sana Kwani hii hali ilinitokea anzia mwaka jana ambapo nilikuwa mtu wa kuchoka mwili sana kwa kipindi kirefu kama miezi Kama 5 au 6 hivi, katika miezi Kama mi3 hivi nilipoanza kuchoka nilianza kuhisi labda Sina mazoezi mwilini ambapo ikanipelekea kuwa nafuatilia sana kwenye media mbali mbali, Google, YouTube, jamii forums jinsi ya kufanya mazoezi mwili uwe sawa nisihisi uchovu, ambapo baada ya kufuatilia kwa muda mrefu Mara kwa Mara nikaanza kuhisi mfadhaiko wa nafsi na wasiwasi juu ya kufanya mazoezi (overthinking) nikijiuliza maswali mengi i.e

Sasa nitafanya Hadi lini, nikiacha kufanya itakuwaje, mbn watu wengine hawafanyi mara kwa Mara, wasiyofanya wanaishije Kuna wakati baada ya muda mrefu Sana kusumbuka nikapima malaria nikakutwa nayo ivyo ilinibidi kutumia dozi Kama mbili ndio nikapona halafu ile Hali ya uchovu ikaisha kbs ila ile hali ya kimawazo ikawabado ipo, nikajiwekea labda baada ya miezi 2 au 3 nitakuwa sawa kabisa ila baada ya hio miezi

Hali ikawa imepungua kwa kiasi kikubwa tuu ila kuna wakati ilikuwa ikinijia io mawazo ya mazoezi na kuniumiza ( kunifadhaisha).

Sasa Kuna wakati nilipitia depression sana nikabidi kwenda kwa mganga baada ya mzee kuniforce sana kwenda cha ajabu ni kwamba baada ya kutoka pale yaani kufukizwa ndani ya shuka kwa mkaa na asali na mambo mengine ile hali ya kuwa na mfadhaiko juu ya mazoezi nikaona imeisha zaidi Sasa nikawa natafakari sana jee niuchawi nilikuwa nao au laa sbb mwanzoni nilibelieve ilikuwa psychological issue Sasa swali linakuja mbn baada ya kwa mganga ile hali imekata kwa kiasi kikubwa sana nikawa sifadhaiki.

Naombeni Sana kwa wenye idea anisaidie
 
Kwema ndugu zangu!!

Ninachangamoto imekuwa ikinipa mawazo Sana Kwani hii hali ilinitokea anzia mwaka jana ambapo nilikuwa mtu wa kuchoka mwili sana kwa kipindi kirefu kama miezi Kama 5 au 6 hivi, katika miezi Kama mi3 hivi nilipoanza kuchoka nilianza kuhisi labda Sina mazoezi mwilini ambapo ikanipelekea kuwa nafuatilia sana kwenye media mbali mbali, Google, YouTube, jamii forums jinsi ya kufanya mazoezi mwili uwe sawa nisihisi uchovu, ambapo baada ya kufuatilia kwa muda mrefu Mara kwa Mara nikaanza kuhisi mfadhaiko wa nafsi na wasiwasi juu ya kufanya mazoezi (overthinking) nikijiuliza maswali mengi i.e

Sasa nitafanya Hadi lini, nikiacha kufanya itakuwaje, mbn watu wengine hawafanyi mara kwa Mara, wasiyofanya wanaishije Kuna wakati baada ya muda mrefu Sana kusumbuka nikapima malaria nikakutwa nayo ivyo ilinibidi kutumia dozi Kama mbili ndio nikapona halafu ile Hali ya uchovu ikaisha kbs ila ile hali ya kimawazo ikawabado ipo, nikajiwekea labda baada ya miezi 2 au 3 nitakuwa sawa kabisa ila baada ya hio miezi

Hali ikawa imepungua kwa kiasi kikubwa tuu ila kuna wakati ilikuwa ikinijia io mawazo ya mazoezi na kuniumiza ( kunifadhaisha).

Sasa Kuna wakati nilipitia depression sana nikabidi kwenda kwa mganga baada ya mzee kuniforce sana kwenda cha ajabu ni kwamba baada ya kutoka pale yaani kufukizwa ndani ya shuka kwa mkaa na asali na mambo mengine ile hali ya kuwa na mfadhaiko juu ya mazoezi nikaona imeisha zaidi Sasa nikawa natafakari sana jee niuchawi nilikuwa nao au laa sbb mwanzoni nilibelieve ilikuwa psychological issue Sasa swali linakuja mbn baada ya kwa mganga ile hali imekata kwa kiasi kikubwa sana nikawa sifadhaiki.

Naombeni Sana kwa wenye idea anisaidie
Usiku unafanyishwa kazi ngumu na watu wanaokuchukua msukule ukiwa umelala! Tiba ni kuokoka hamna namna nyingine
 
Usiku unafanyishwa kazi ngumu na watu wanaokuchukua msukule ukiwa umelala! Tiba ni kuokoka hamna namna nyingine
Ile Hali ya kuchoka ilikwisha isha sema hali ya kuwaza mazoezi na kuumia ndio ikiwa bado ipo(ingawa ilipungua) sema baada ya tiba ya kwa mganga( kufukizwa na mmb mengine) Hali nikahisi kbs imekuwa shwari kwa kiwango kikubwa
 
Ile Hali ya kuchoka ilikwisha isha sema hali ya kuwaza mazoezi na kuumia ndio ikiwa bado ipo(ingawa ilipungua) sema baada ya tiba ya kwa mganga( kufukizwa na mmb mengine) Hali nikahisi kbs imekuwa shwari kwa kiwango kikubwa
Baada ya kuenda kwa wachawi (waganga wa kienyeji) na kukubaliana wasikutumikishe! Sasa wamtumikishe nani kama mbadala? Uenda uliwapa wanao ulionao au utakaokuja kuwa nao huwe na uhakika uliingia agano. Wakianza kumtumikishwa watasema tulipewa na baba yako/babu yako kimkataba wewe ni wetu. Ndo mikataba ya kimasikini, kiuganga, kiuchawi, n.k inavyokuwaga! Ujatatua tatizo bali umeliongeza ni suala la muda! Okoka!
 
Back
Top Bottom