Naitwa Hamid na naomba kujumuishwa katika jamii. Nategemea nitasaidi kuweka sawa mambo mengi hasa yale ya upotoshaji. Salaam Mwanakijiji lakini ukipokea chochote unaburuzwa. Salam Mwiba lakini Jazba zako zinakufanya ufikiri yasiyowezekana. Na wengine nisiwataja tutakwaana humu humu.