Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 3,886
- 3,809
Wakuu, sina haja ya kuwasalimia kutokana na mvurugo bila kusahau matusi ya Mkuu Mpwayungu naomba kuuliza wajuvi hivi mwalimu akishindwa kuchangia mchango wa MWENGE ambao ni shilingi elfu tano katika halmashauri hii anakuwa amemkosea nani kwa sababu naona ni wazi tunatafutana lawama. Kuna wananchi wengi tu lakini hawabanwi, why Walimu?
Mikwara miiingi mara majina sijui yanatumwa kwa mkuu wa wilaya kwa wasio changia mwenge kwa Nini mnatulazimisha kama ni lazima si muwe mnakata hukohuko kabla mshahara haujatoka?
Binafsi sioni mantinki naona ni uonevu wa Hali ya juu mwalimu amekua ndio jalala la majanga huo mwenge wenyewe ukifika mwalimu hatambuliwi watu wanatafuna vyuku kwa michango ya walimu masikini Serikali tafadhali msituonee hivi kuweni na chembe ya huruma magoli mnanunua milioni20 mchango wa MWENGE unawashindaje?
Mikwara miiingi mara majina sijui yanatumwa kwa mkuu wa wilaya kwa wasio changia mwenge kwa Nini mnatulazimisha kama ni lazima si muwe mnakata hukohuko kabla mshahara haujatoka?
Binafsi sioni mantinki naona ni uonevu wa Hali ya juu mwalimu amekua ndio jalala la majanga huo mwenge wenyewe ukifika mwalimu hatambuliwi watu wanatafuna vyuku kwa michango ya walimu masikini Serikali tafadhali msituonee hivi kuweni na chembe ya huruma magoli mnanunua milioni20 mchango wa MWENGE unawashindaje?