NALO LITAPITA
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 333
- 90
Wanabodi habari ya majukumu?
Nakuja kwenu kuomba ufafanuzi kwa mwenye kuelewa utaratibu wa Jambo hili.
Mimi ni mwàjira katika sekta binafsi. Kabla ya serikali kuunganisha mifuko ya hifadhi ya jamii nilikuwa mwanachama wa PPF. Baada ya kuunganishwa kwa mifuko tukaelezwa sisi wafanyakazi wa sekta binafsi tunapaswa kujiunga na mfuko wa NSSF. Wakati naenda kufanya usajili wa kujiunga na NSSF niliuliza kuhusu utaratibu wa michango yangu ya PPF nikaelezwa kwamba itahamishiwa NSSF punde.
Leo nimeenda kuomba statement ya michango yangu imeonekana tu ile mliyoanza kuchangia baada ya kujiunga rasmi NSSF mwaka 2019.
Nimemuuliza Dada aliyenitolea statement akasema michango niliyochangia PPF iko PSSSF. Hivyo hiyo napaswa kwenda kuiulizia huko.
Naomba mwenye kujua utaratibu wa Hatima ya michango yangu hiyo anisaidie kunifafanulia.Nini kifanyike ili michango hii iwekwe katika mfuko mmoja.
Nakuja kwenu kuomba ufafanuzi kwa mwenye kuelewa utaratibu wa Jambo hili.
Mimi ni mwàjira katika sekta binafsi. Kabla ya serikali kuunganisha mifuko ya hifadhi ya jamii nilikuwa mwanachama wa PPF. Baada ya kuunganishwa kwa mifuko tukaelezwa sisi wafanyakazi wa sekta binafsi tunapaswa kujiunga na mfuko wa NSSF. Wakati naenda kufanya usajili wa kujiunga na NSSF niliuliza kuhusu utaratibu wa michango yangu ya PPF nikaelezwa kwamba itahamishiwa NSSF punde.
Leo nimeenda kuomba statement ya michango yangu imeonekana tu ile mliyoanza kuchangia baada ya kujiunga rasmi NSSF mwaka 2019.
Nimemuuliza Dada aliyenitolea statement akasema michango niliyochangia PPF iko PSSSF. Hivyo hiyo napaswa kwenda kuiulizia huko.
Naomba mwenye kujua utaratibu wa Hatima ya michango yangu hiyo anisaidie kunifafanulia.Nini kifanyike ili michango hii iwekwe katika mfuko mmoja.