IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,184
- 7,819
Itachanganywa ili mtu apate mafao mazuri, nimeulizia nikaambiwa hivyo. Wakati wa kustaafu wataangalia kule ambako umemalizia ndiyo wstahamushia huko.Je, wakati wa unastaafu .Pension wanakulipaje sasa.Utakuwa unachukua kote kuwili. PPF umechangia 10years na labda NSSF 7 years inakuwaje