sarcomere1
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 330
- 627
Dah kumbe tupo wengi, ujue huu ugonjwa wengi sana tunaumwa ila hatujui tu na ndomana siku za karibuni kumekuwa na idadi kubwa ya watu wanaanguka tu wanakufa inamaana hawa walikuwa wanatembea na korona bila kujijuaBoss naomba tips kidogo. Kusema kweli sijisikii vizuri.
Ushauri, kwa ambae ameshapata dalili za korona na akatumia either dawa za mitishamba ama mchanganyiko wa dawa za dukan tupe hints humu na wengne wengi wanufaike
Sent using My phone