Naomba niwaage

Naomba niwaage

Mimi nilikua sina mafua.. ila koo na kifua mdio vilinitesa. Nikilala ndio linazidi kutaka nikohoe.
Mm toka wiki iloyopita natumia mchanganyiko huo wa asali,Tangawizi unga na Limao. Pia hua namungunya tangawizi kipande kidogo everyday na kula chungwa moja.
Mkuu tafuta mnyaa ni mzuri sana.. kipindi hiki sijatumia maana nilikua napanik hadi nikasahau kama ni dawa. Ndio nikakumbushwa maana utotoni tulikua tunapewa na wazazi
Mnyaa nimeshamuagiza mtu kesho nikiamka salama ntaletewa nitumie mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante sana ram.
Waambie ninawapenda sana pia, na ahsante kwa maombi yao...
Moja ya sms kutoka kwa ushmen, yuko okay japo anapita kwenye changamoto, tuendelee kuombeana wapendwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie awe strong, dunia inataka tuwe strong hivyo aondoe woga na kujijengea kujiamini. He's a good human being, tunamuombea!!
 
Hata mm situation ndio Kama hiyo nikivuta pumzi nakohoa,mafua ,siskii harufu ya kitu chochote,uchovu bila kufanya kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu, nimetokewa na hali kama hizo kuanzia juzi, hakika tutapita salama.

Kwako Ushimen usikate tamaa namna hii, ni mbaya fight bila kuchoka, jifukize, na kutumia viungo tulivyoelekezwa. Inasaidia sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati wa self isolation nimezurura sana JF, nafikiri imekua sehem ya kunipunguzia mawazo na kunipa burudani.

Ushimen endapo tatizo ni huu ugonjwa kukata tamaa ni kosa kubwa sana mkuu. Kwanza sio kila anaeupata anaondoka, kuna kundi la watu wengi tu wanapona tena wengine bila hata msaada wa hospital, hatari ipo lakini sio kubwa kiasi hichi mkuu.
 
Corona ipo mtaani na watu wanaugua... Acha kuogopa Mimi nimepata maambukizi ya Corona mara mbili na mara zote nimepona bila kunywa hata Panadol.

Mwanaume acha kulialia, show us your strength and endurance kwenye magumu Kama haya. As survival chance Ni kubwa Kama wewe Ni kijana usie na chronic disease, you are safe... And so why worrying?

Na Kama hujui hofu ndio adui yako mkubwa Sasa, watu wengi walikuwa na ukimwi bila kujua na waliishi kwa Amani kwa miaka mingi ila walipoambiwa tu Wanao ukimwi HIV walikufa mapema kwa sababu walikaribisha hofu.

Fear is the darkenes
Hope is the lantern.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimekuelewa sana mkuu, Hakika hofu ndio inamaliza wengi.
Together we shall get through this.! It’s actually tough and uncertain times, but we have Jesus son Of God who can make it certain.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh,hizi dawa mnazomtajia inawezekana kabisa zinasaidia ila nyingi ni kubahatisha,kwanini msimshauri aende hospitali mapema ili kama ni Covid-19 aanze matibabu pale na kama sio ndio aendelee na hizo mixer iwapo atagundulika ana hayo matatizo,kwa mfano hapo umetaja mseto na salbutamol,unawezaje kuzitumia hizo dawa kama hujajua una malaria au pumu...!

Suala la kwenda hospitali mkuu kwa sasa sio la kulipa kipaumbele.! Ni bora ukigundua unalo tatizo basi ji isolate, Tumia mchanganyiko wa Kitunguu swaumu, Limao, Tangawizi na Asali kila mara kwa kunywa. Hii inaweza kuokoa maisha yako.
Hospitali zinawakataa wagonjwa, wanawaambia waende kwenye hospitali zilizotengwa. Na shida kubwa inakuja huu ugonjwa wakati mwingine unakuja na dharura.!


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG_3058.JPG
    IMG_3058.JPG
    133.6 KB · Views: 6
Wala usiogope mkuu mimi toka ijumatatu ya wiki iliyopita nilikua hoi mno. Mbavu,kifua,joint,kichwa,homa na kikohoo

Niliogopa sana yaani kifua na koo vilivyokua vinauma nilijua naondoka asee. Ila leo niko poa kabisa.(Sikuambia yoyote juu ya hiki)

Cha msingi acha Hofu kabisa kama una Kwaya Video angalia sana zinaondoa temptation..

Chukua Baking Soda kijiko cha kula kimoja changanya kwenye glasi kunywa kabla ya kula chochote.Nimepona kifua na Mbavu kwa hili.

Chukua Tangawizi,Asali na liamao uwe unakunywa.
Chukua mnyaa/mnyara ubabue kwenye moto kifogo kisha tafuna meza maji yake kikohoo kitapona.

Au tafuna majani ya mbaazi kifua na Kikohoo vitapona
Mimi nimepona koo kwa mchanganyiko huo
View attachment 1436458
umetumia vyote hivyo kwa pamoja?
 
Mkuu Ushimeni, njia ya kwanza ya kusaidika nikuweka wazi tatizo lako.


Ikiwa ni hofu ya Corona, basi niseme acha kujiua na stress, sogea Hosp uchekiwe ...

Kwanza niwatake watanzania wote, Imani kwa Mahosp yetu nilazima tusiipoteze.

Vema uende ,ili tatizo linalokusumbua liwekwe wazi.


Nahata kama Utaambiwa una Corona, bado hujachelewa, Amini kua wewe ni mmoja ya wanaopona .



Kitendo chako cha kukaa nyumban, bila kujua shida nn, sio njia ya kutatua tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom