Uzi unasema,"Sina chaguo Kati ya kuishi au kufa"Inukuu hiyo post mkuu.
Shukrani mkuu ngoja nikautafuteYeah ndio huo huo. Unaubabua ili kuondoa utomvu..
Tumeutumia sana kijijini kwetu
Tunaomba maelezo ya ziada tafadhali. Yaani uliendelea kuishi Kama kawaida, au?Corona ipo mtaani na watu wanaugua... Acha kuogopa Mimi nimepata maambukizi ya Corona mara mbili na mara zote nimepona bila kunywa hata Panadol.
Mwanaume acha kulialia, show us your strength and endurance kwenye magumu Kama haya. As survival chance Ni kubwa Kama wewe Ni kijana usie na chronic disease, you are safe... And so why worrying?
Na Kama hujui hofu ndio adui yako mkubwa Sasa, watu wengi walikuwa na ukimwi bila kujua na waliishi kwa Amani kwa miaka mingi ila walipoambiwa tu Wanao ukimwi HIV walikufa mapema kwa sababu walikaribisha hofu.
Fear is the darkenes
Hope is the lantern.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuombeaneni tu wakuu maana watu wanaumwa.... Mm nna week Sasa naumwa napambana tu na malimao ,Kuna muda hofu inanijia mpaka nataka kukata tamaa Ila Mungu ni mwema bado napambana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna haja, kijana atapona tuPiga nyungu mwanzo mwisho!
Eeeh bwana.
Asante best ,napambana sana yaniPambana best usikate tamaa..polr sana
Pole sana mkuuTuombeaneni tu wakuu maana watu wanaumwa.... Mm nna week Sasa naumwa napambana tu na malimao ,Kuna muda hofu inanijia mpaka nataka kukata tamaa Ila Mungu ni mwema bado napambana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana Tojo
Nakupigia hupatikani, plz!Kwa heshima na taadhima, sio mbaya nikiwaaga members wenzangu ambao nimefahamiana nao hapa JF. Pia, kwa dhati kabisa naomba wote wenye niliwakwaza kwa makusudi ama kwa bahati mbaya wanisamehe.
Siamini kama kuna yeyote anaeye tamani kuhitimisha safari yake hapa duniani akiwa mwenye dhambi, kwasababu Mungu wetu mwenye upendo ametupa nafasi ya kutubu dhambi zetu siku zote.
Baada ya kazi sasa nimeona nijitenge kwa muda wa siku kadhaa ili niitazame afya yangu. Kama Mungu akipenda basi tutaendelea kujiona tena, lakini akinipenda zaidi basi yote kheri.
Hakika ninaogopa, nimekuwa na hofu kuu, moyo wangu unahuzunika.
Ngoja nipambanie hii pumzi.
Sent using Jamii Forums mobile app