Muyabi colors
JF-Expert Member
- Oct 18, 2024
- 2,690
- 3,838
- Thread starter
- #81
Sijaonesha popote mkuuUjeuri 😄
Sijaonesha popote mkuuUjeuri 😄
Mtu wangu hajapata mzigo bado anasema mtu wa huko ziwani anasema ziwa limefungwa wiki moja.Karibu sana mkuu
Lita 10 ndoo ni elfu 60000 mkuu waliokaangwaMtu wangu hajapata mzigo bado anasema mtu wa huko ziwani anasema ziwa limefungwa wiki moja.
Kwa hivyo na wewe pia hutaweza kupata dagaa endapo hizi taarifa za kweli. Atakutafuta baada ya wiki 1.
Ndoo kubwa walio kaangwa tayari bei gani?
Ungekazia tu kwenye biashara unaweza pata madili. Kuomba pesa kwa kijana mwenye smart phone na uwezo wa kununua bando, havina uhalisia. Kosa lingine la kiufundi ni kuweka kiwango, eti hata buku ten. Mwenye shida hataji kiwango. Sorry it's my opinions.Wakuu kwema habari zenu vipi Poleni sana na majukumu wakuu,
Ndugu yenu mdau wa Jamiiforum nakufa njaa nimeazisha Uzi wa dagaa na samaki mnipatie kazi niwatafutie lakini Naona kimya sana wakuu, Mimi ndo nimeanza Sina mtaji nimeamua kujiajiri ziwani kwa kuwatafutia samaki na dagaa,
Ili nisikae Bure naona maisha magumu naomba ata msaada wako mwenye kiasi chochote anisaidie Sina kitu kingine cha kufanya naomba mnisaidie wakuu 0622730684 japo ata buku ten tu wakuu
Pia naomba mniungishe kwenye samaki na dagaa 🙏😥😭
Una kibari cha kusafirisha samaki wabichi?Wakuu bei ya samaki kama wanafika Leo Leo wabichi bila kukaanga watakuwa vizuri maana unakuta nimewatengeneza kama ukitaka bila kuwakaanga wafike wabichi kwako huko
Sina mkuuUna kibari cha kusafirisha samaki wabichi?
Sasa nikitaka kukupa hilo dili la kusafirisha hao samaki wabichi utawasafirishaje? Niko serious.Sina mkuu
Labda WA kukaanga mkuu naweza Hilo diliSasa nikitaka kukupa hilo dili la kusafirisha hao samaki wabichi utawasafirishaje? Niko serious.
Hotel inahitaji fresh fish.Labda WA kukaanga mkuu naweza Hilo dili
Kama kilo ngapi mkuuHotel inahitaji fresh fish.
Ungekuwa na mtaji hata kiasi kidogo ningekupa soko la vibambala. Demand ni kubwa sana,Labda WA kukaanga mkuu naweza Hilo dili
Minimum sato kilo 300 kwa siku.Kama kilo ngapi mkuu
Sina. MkuuUngekuwa na mtaji hata kiasi kidogo ningekupa soko la vibambala. Demand ni kubwa sana,
Kweli hapo parefuMinimum sato kilo 300 kwa siku.