Naomba msaada wenu wateja wa dagaa na samaki

Naomba msaada wenu wateja wa dagaa na samaki

Lita ngapi?
Mbona maelezo nusu nusu?
Au unapenda kuchati!
Kuna huyu anaitwa sam. Niliungwa kwneye group lake la whatsapp ila nilijitoa muda tu .. Unhone hizo sado

1784557600135.jpg
 
Kwahio tunakutumia pesa ndio unafata mzigo au mzigo upo tyr bila kutegemea pesa zetu?
Ndo naanza mkuu nimeamua kujiajiri huku mkuu uhaminifu upo mkuu, Sina mtaji unatuma pesa nafata mzigo harafu unasema unatakaje uweje
 
Ni
Ndo naanza mkuu nimeamua kujiajiri huku mkuu uhaminifu upo mkuu, Sina mtaji unatuma pesa nafata mzigo harafu unasema unatakaje uweje
Una idea hio hio tu au una nyingne? Na upo wapii? Mtaa,wilaya na mkoaa
 
Mm nashauri jari
Ndo nimeona hii ipo vizuri mkuu nipo Mara wilaya nipo Musoma
MM nashauri jaribu kutafta wazo lingine kwa ajiri ya kujikwamua kimaisha, unalo zungumzia kufanya biashara ya samaki au dagaa maana yake unagusa sehemu ya chakula ambayo ndio msingi wa afya ya binadamu.
Hivyo basii ni ngumu sana mtu kukuamini umtaftie hao vitoeo.
Tafta mtaji kwanza ujenge brand ndio uanze hio biashara, yaan sisi ndio tukutafte na wala sio wewe kututafta.
 
Mm nashauri jari

MM nashauri jaribu kutafta wazo lingine kwa ajiri ya kujikwamua kimaisha, unalo zungumzia kufanya biashara ya samaki au dagaa maana yake unagusa sehemu ya chakula ambayo ndio msingi wa afya ya binadamu.
Hivyo basii ni ngumu sana mtu kukuamini umtaftie hao vitoeo.
Tafta mtaji kwanza ujenge brand ndio uanze hio biashara, yaan sisi ndio tukutafte na wala sio wewe kututafta.
Nakazia📌
 
Mm nashauri jari

MM nashauri jaribu kutafta wazo lingine kwa ajiri ya kujikwamua kimaisha, unalo zungumzia kufanya biashara ya samaki au dagaa maana yake unagusa sehemu ya chakula ambayo ndio msingi wa afya ya binadamu.
Hivyo basii ni ngumu sana mtu kukuamini umtaftie hao vitoeo.
Tafta mtaji kwanza ujenge brand ndio uanze hio biashara, yaan sisi ndio tukutafte na wala sio wewe kututafta.
Nimeamua kujiajiri mkuu
 
Sadi sio ndoo ya litre 10..
Kuna vile vindoo vindogo vya rangi, ila sijui specific litres

Kuna mtu anauza dagaa, sado ndogo ni 23k na sado kubwa ni 25k.

Kama dagaa ni 15k kwa sado. Leo ndo nimejua wana faida pia
Hiyo sado aliyoweka na maelekezo yako ni sahihi.
Hiyo lita 4 hivi sijui 3.5.
Ngoja nitamuambia mdau atamjaribu kijana uaminifu wake, Kama bado mtu wake hajamletea.
 
Mods wanafuta tu Uzi kila nikiomba

Naomba mnisaidie japo hela ya kula japo buku ten tu mdogo wenu 0622730684
 
Hakuna kitu aje aseme hapa
Pole ngumu sana kuonewa huruma ukizaliwa wakiume..ila mkuu pia nishakwambia usiombe hela ndogo za kula hutaaminika mtu kukutumia laki 2 si ataona unaikimbia na jf mazima..we post kazi omba deal onyesha mzigo,uza na mtaani huku hautujui kumbe wengi tunaishi ulaya hahahahah
 
Back
Top Bottom