Naomba msaada wenu wateja wa dagaa na samaki

Naomba msaada wenu wateja wa dagaa na samaki

View attachment 3633602hii ndo Sado kwa kupimia dagaa
Bado hujatatua tatizo. Ingawa nimeshajua hiyo kopo ya rangi ya Lita 4 ile.

Kuna ndoo za Lita 20 zipo hivyo muonekano kwenye picha.
Geuza piga kwenye maandishi ya ujazo au
Weka chini jipige picha kwenye hiyo sado ikiwa kwenye miguu yako( iwe point of reference) tutajua ukubwa halisi..
 
Bado hujatatua tatizo. Ingawa nimeshajua hiyo kopo ya rangi ya Lita 4 ile.

Kuna ndoo za Lita 20 zipo hivyo muonekano kwenye picha.
Geuza piga kwenye maandishi ya ujazo au
Weka chini jipige picha kwenye hiyo sado ikiwa kwenye miguu yako( iwe point of reference) tutajua ukubwa halisi..
Daaah,hii biashara ngumu🙌
 
Bado hujatatua tatizo. Ingawa nimeshajua hiyo kopo ya rangi ya Lita 4 ile.

Kuna ndoo za Lita 20 zipo hivyo muonekano kwenye picha.
Geuza piga kwenye maandishi ya ujazo au
Weka chini jipige picha kwenye hiyo sado ikiwa kwenye miguu yako( iwe point of reference) tutajua ukubwa halisi..
Hiyo picha nimetoa mtandao ndo nimeanza Sina mtaji unataka kitu Gani mkuu
 
Basi tuache hapo hatuelewani.
Maana nimekuuliza kuhusu tafsiri ya sado huko kwenu.
Kwetu sado ni kopo ya Lita 4, mkoa wa Pwani sado wanamaanisha ndoo ndogo ya Lita 10 wao hiyo sado ya kwetu wanaita amboni.
Unaweza kuleta sado ya kwetu kwa mtu wa Pwani akaja kutangaza wewe mwizi tapeli umemletea mzigo mdogo amboni.
Sadi sio ndoo ya litre 10..
Kuna vile vindoo vindogo vya rangi, ila sijui specific litres

Kuna mtu anauza dagaa, sado ndogo ni 23k na sado kubwa ni 25k.

Kama dagaa ni 15k kwa sado. Leo ndo nimejua wana faida pia
 
Back
Top Bottom