Elisha2004
JF-Expert Member
- Feb 21, 2020
- 489
- 560
Sijamuoneaga bado yure slayqueen akitoaga kucomment
Memento, Homo!!!
Memento, Homo!!!
Akii ww ni kakorona kadogoAhahahaha vile Dar kulivyo na joto nitalala na boxer tuu
Nenda kareport kazini utasaidiwa na wafanyakazi wenzio. Hivi unajua ni ngumu kumpa hifadhi mtu ambae humjui? wafanyakazi wenzio wana security, watakuwa wanakuamini kiasi hata kwa utambulisho, taarifa zako ziko kazini.wakuu asanteni kwa michango yenu
nimefika Dar jamani naombeni hifadhi
post ambayo nitapangiwa ni either TBL HQ, KONYAGI ama DEPOT ya TBL Ubungo.
kwa atakaekuwa na moyo wa kunisaidia please naomba tuwasiliane.
Ahahahaa asee.Akii ww ni kakorona kadogo
Sent from my Infinix X559C using Tapatalk