Nrangoo
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 3,352
- 5,249
AseeAkishindwa pls nijulishe sina kwa kulala pia.
AseeAkishindwa pls nijulishe sina kwa kulala pia.
Ndugu yangu ofisi za siku hata hazizingatii hasa dunia ya sasa nafasi moja ya kazi inagombaniwa na watu laki moja.
Unadhani nitaliwa kimasiharaJamani mawazo gani tena hayo?
hapana sijafikiria hivyoUnadhani nitaliwa kimasihara
Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
siyo mchezo
Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
ha ha ha hapo kuliwa haikwepeki; labda mshinde njaa vitu vishindwe kusimamaUnadhani nitaliwa kimasihara
Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
Kilevi kwa sasa ila baada ya muda utaanza kutumia.
Nakushauri rekebisha hicho kipengele
mkuu asante sana kwa msaada. nitakutafutaNjoo kwangu niko single ila sasa chumba kimoja utaweza tuwe tunaweka mito kati kati? Ujisitiri huo mwezi mmoja?
Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
Jana umelala wapi?
sawa mkuu asanteKilevi kwa sasa ila baada ya muda utaanza kutumia.
Nakushauri rekebisha hicho kipengele
Mkuu kuweka taarifa sensitive kama hizi sidhani kama ni salàma katika mitandao.
Huyu dada Nima Imma ulimcheki?wakuu asanteni kwa michango yenu
nimefika Dar jamani naombeni hifadhi
post ambayo nitapangiwa ni either TBL HQ, KONYAGI ama DEPOT ya TBL ubungo.
kwa atakaekuwa na moyo wa kunisaidia please naomba tuwasiliane.
Duhhh ,,sema yeye ashindwe uvumivu si mimiha ha ha hapo kuliwa haikwepeki; labda mshinde njaa vitu vishindwe kusimama
Amekutafuta au ndio kachukulia utani?Ama nimwombee kwa mpangaji mwenzangu kama chumba chake cha boys kinanafasi asitiriwe hapo
Unajua watu watafanya masihara ila kuna jambo nikikumbuka dah
Sent from my Infinix X559C using Tapatalk