Naomba msaada wa makazi Dar es salaam

wakuu asanteni kwa michango yenu
nimefika Dar jamani naombeni hifadhi

post ambayo nitapangiwa ni either TBL HQ, KONYAGI ama DEPOT ya TBL Ubungo.

kwa atakaekuwa na moyo wa kunisaidia please naomba tuwasiliane.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom