Vp ukigugoMsaada wa unigold picha yake
Mkuu sijakuelewa,Utakuwa umetumia Kipimo kiitwacho SD BIOLINE FOR HIV1/2.
Na Ndani y Dakik 10 kikatoa MSTARI MMOJA (Na hapo tunaita NEGATIVE).
Sasa hiki Kipimo kimetengenezwa kusomwe/Kitoe Majibu ndani ya Dakika 10, yaan majibu zaidi ya Dakika 10 hayatambuliki (FALSE RESULT).
Sasa ulivyokiacha hadi asubuhi, Ina maanisha ulivuka ule muda wake, Hayo majibu sio...Majibu yanayotambulika ni yale "Within 10 Minutes.
Invalid
Ni hivyo
Muda ukipita mref vinasoma tofaut kusoma baada ya kupita kuda mref vinaleta majibu ya uongoYan ndan ya saa moja, nilivyopima vilikuwa visafiii na line moja, asubuh nimekuta io hali, 3 lines, na nlipima saa 5 asubuh ya jana.
Upo sahihi kakaSD bioline inasomwa ndani ya dk 30, baada ya hapo huwa inabadilika kama ilikua negative inakua positive na kama ilikua positive inakua invalid, majibu ya kweli ni yale ulosoma ndani ya dk 30. Nenda kapime sehemu rasmi, au tumia kitepe cha uni-gold
YapSawa mkuu. Kumbe pia ukiviacha sana vinabadl majb
Et wakuu mtu akiwa anatumia ARV akipima virusi havionekani
Nataka nijue kwann visome asubuji
Je, ndo nipo postive au vimesoma magonjwa mengne?
Yule anaejita Decision yupo wapNi dezain ya vikaratas, vingne ni kama made of plastics sjuk nimekujb,
Em tupe io stor ya streas hehhe
Don't rely on results after 10-15 minsHabari wana jamvi.
Naomba msaada wa haraka.
Baada ya kujipima HIV na kipimo (vile vyeupe)
Ndani ya dakik 10 ilionekana positive ila asubuhi viliweka mistari 3
(Vililala mpaka asubuhi)
Naombeni
Wataalamu wanijuze.