PrincessAnne
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 1,875
- 2,222
Utakufa na presha ndugu nenda tu hospital kwa vipimo na ushauri zaidi wala usiogope maana kama upo upoo tu hata ukijificha au uogope kupima au ukakimbia majibu ukimwi upo tu.Na ni muda gan vinasoma kwa majib sahh,
Je, utata ndo mistar 3,
Au ni kwamba nnavirus bado havijaingia sawa sawa?
Je ni halal visome mpaka asubuh kupta jib
Je nin mara nyng hutokea unapokiacha kipimo kwa masaa zaidi ya sita?