Heaven Sent
Platinum Member
- Sep 27, 2013
- 32,719
- 98,386
Haha inferior/alpha male wana shida sana. Hawataki wanawake waliosoma but at the very same time wanawapeleka shule mabinti zao khaaa. Yani wakishaoana bwana ndo atagoma kabisa mke kurudi shule, ndo nitolee hiyo. Mwanaume wa kweli anasupport ndoto za mke wake.Akishaolewa akileta swala la kwenda shule ataulizwa uende shule ili iweje!? Kwani unalala njaa humu ndani!? Unatembea uchi!? Una shida ipi hadi utake kwenda kusoma!? Lakini mwanaume huyu huyu mwambie binti yake aishie la saba au O'level kisha aolewe utaona jinsi anavyokuja juu kama mbogo!
It is okay kwa mtoto wa kike wa mwenzie asipate elimu ya juu lakini si wa kwake! Baadhi ya wanaume na undumilakuwili wao kwenye issue hii wanashangaza sana kusema kweli.