CaptainLavan
Member
- Jan 22, 2017
- 15
- 12
Kasome
vyuoni mabinti wanavulika chupi kilaini sana..by the way mwanamke anavyozidi kusonga mbele kielimu na umalaya unaongezeka,,,Muulize ni sababu zipi ambazo zinamfanya wewe akukatalie kusoma.
hhahaaahahaUkimwacha mmeo na ukaamu kuja huku chuoni na mimi sitakubal lazima unizalie mtoto.
Swal zur sanaanayelipa ada ni nani'?
Halafu wengi wenye upeo mkubwa waliwaruhusu wachumba kwenda kusoma wakaishia maumivu makali. Kama mume sio future ujue hauko tayari kuwa na mchumba. Mapenzi na shule ni pilau na mrenda!!Wengi wa Wanaume wenye upeo mdogo huisi mwanamke akienda Chuo basi tena atajanjaruka, uamuzi wako unataka kuolewa ama utengeneze future yako kwanza.
Sio sisi tutakaoishi na huyo mwanaume. Hayo na maamuzi yenu wawili.Habari zenu wanajamvi,
Naomba ushauri kutoka kwenu,
Mimi ni binti wa early twenties na nina mchumba ambae mpaka kwa wazazi anajulikana na Mungu akipenda mwaka huu tutaoana.
Kilichonileta hapa ni hiki kuanzia mwaka Jana nilikua nataka nianze process nirudi shule nilipomshirikisha huyu mchumba kakataa kabisa tena kaenda mbali zaidi na kuniambia siku utakayokwenda shule kata mawasiliano na mimi.
Na mimi nimemwambia mbona inawezekana kwenda chuo na mambo yote yakaendelea kama kawaida lakini bado ameshikilia uzi huohuo wa mimi nisiende chuo.
Naombeni ushauri nisimamie wapi maana najikuta nawaza nashindwa kujua ni choose ni kitu gani.
Nb: Yeye amesoma
Tatizo lenu mkipata elimu ila quality ya kua wife material ghafla tu inapotea mnakua wajinga wajinga sijui kwann ndo mana wanaume wengi wanaoa wanawake wasiosoma au wenye elimu ndogo....jiulize mtu ana master anaoa cheti...kwanininininininiHana nia njema nawe huyo!!! Tena wa kumtupilia mbali. Mwanaume gani hataki maendeleo ya mwenza wake? Kama unatamani kuendelea kusoma bora ufanye hivyo saivi, kwenye ndoa itakua ngumu kidogo.
Wanaume wengine wanataka wakikuoa waku-control hadi unapotaka kununua peni. Wanaogopa ukiwa msomi utakua na akili yako na kuweza kujitegemea.
Wadada wengi ata hivyo tunakumbwa na tamaa tukiwa chuoni, anaweza akawa anaogopa mwanamke wake kuibwa.
Jaribu kuongea nae ujue sababu ya yeye kutotaka wewe usome. Utajua anakataa kwa mema au mabaya.
Sio kua tunakua wajinga mkuu! Tunapata ujasiri, na hicho ndicho mwanaume hapendi.Tatizo lenu mkipata elimu ila quality ya kua wife material ghafla tu inapotea mnakua wajinga wajinga sijui kwann ndo mana wanaume wengi wanaoa wanawake wasiosoma au wenye elimu ndogo....jiulize mtu ana master anaoa cheti...kwaninininininini
Wewe unataka nini? Kuolewa au kusoma? Au vyote kwa mpigo? Kipi kwako ni muhimu? Ushauri anza na unachodhani ni muhimu kuliko kingine. By the way ni binti mdogo, think bigHabari zenu wanajamvi,
Naomba ushauri kutoka kwenu,
Mimi ni binti wa early twenties na nina mchumba ambae mpaka kwa wazazi anajulikana na Mungu akipenda mwaka huu tutaoana.
Kilichonileta hapa ni hiki kuanzia mwaka Jana nilikua nataka nianze process nirudi shule nilipomshirikisha huyu mchumba kakataa kabisa tena kaenda mbali zaidi na kuniambia siku utakayokwenda shule kata mawasiliano na mimi.
Na mimi nimemwambia mbona inawezekana kwenda chuo na mambo yote yakaendelea kama kawaida lakini bado ameshikilia uzi huohuo wa mimi nisiende chuo.
Naombeni ushauri nisimamie wapi maana najikuta nawaza nashindwa kujua ni choose ni kitu gani.
Nb: Yeye amesoma
Naww mbona unatoa sana ushauriAnaogopa utapata maarifa. Ukute amekupenda kwa sababu umeishia sekondari. Wanawake wa madegree wanatuogopa siku izi... Eti si wanyenyekevu kwenye ndoa.
Soma kwanza wachumba wapo wengi tuMchumba nampenda tena sana tu lakini pia elimu ni ya muhimu kwangu