Naomba msaada kwa aliyewahi kusajili Mradi TIC

Bexb

JF-Expert Member
Oct 24, 2016
655
1,391
Habari ya jumapili wakuu. Naomba msaada wa maelekezo toka kwa mtu aliyewahi kusajili mradi chini ya Tanzania Investment Centre (TIC).

Ninahitaji kujifunza jambo kwa uhalisia wake hasa katika maandalizi ya nyaraka zinazohitajika.
 
Back
Top Bottom