Embe Bichi
Member
- Feb 1, 2024
- 87
- 206
Habari za mchana wanajamvi, mimi ni kujana mwenye miaka 33, katika kujitafuta baada ya mapambano ya muda mrefu ya hapa na pale nimefanikiwa kupata kandarasi ya kutekeleza mradi wa taasisi mojawapo ya serikali. Mradi huo una thamani inayofikia 120M, changamoto inayonikabili kwa sasa ni mtaji wa kuanza utekelezaji wa mradi huo, mradi ni miezi sita. Sina dhamana yoyote ya kuweka ili nipate mkopo angalau 20M ili nianze utekelezaji wake.
Ninaomba msaada katika jukwaa hili, je kuna taasisi yoyote ya fedha inayoweza kunikopesha kiasi hicho cha hela pasipokuwa na dhamana yoyote nikapata fedha kwa ajili ya kuendesha mradi huo?
Kama siwezi kupata mkopo, ni njia gani nitumie kupata support ili niweze kutekeleza mradi huo.
Note: Nina Nyaraka za mkataba halali ambao nimesaini na Client wangu (Gorvernment Institution)
Ninaomba msaada katika jukwaa hili, je kuna taasisi yoyote ya fedha inayoweza kunikopesha kiasi hicho cha hela pasipokuwa na dhamana yoyote nikapata fedha kwa ajili ya kuendesha mradi huo?
Kama siwezi kupata mkopo, ni njia gani nitumie kupata support ili niweze kutekeleza mradi huo.
Note: Nina Nyaraka za mkataba halali ambao nimesaini na Client wangu (Gorvernment Institution)