Kijana wangu alikuwa amebebwa na Bodaboda (pikipiki) pamoja na wenzake wawili wanakwenda shule (mshikaki). Gari likamgonga bodaboda kwa nyuma, mtoto akaanguka na kuumia . (by the way mmoja alikufa na mwingine escaped unhurt)
Msaada: Katika scenario kama hiyo namshitaki nani? Bodadoda au mwenye gari aliyegonga bodaboda nyuma na kusababisha ajali ya pikipiki?
Msaada: Katika scenario kama hiyo namshitaki nani? Bodadoda au mwenye gari aliyegonga bodaboda nyuma na kusababisha ajali ya pikipiki?