Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,655
Ulikuwa na Mpenzi, ndio mlikuwa pamoja kukidhi haja za kimwili japo hata hamkupendana Kihivo.
sasa katika uhusiano wenu labda kwa mfano mwanaume kuna vitu ulimpa huyo mwanamke je mkiachana kuna haja ya kudai vitu vyako? au labda ni kumwacha navyo tu.
nisaidieni maana sipati jibu katika hili!
sasa katika uhusiano wenu labda kwa mfano mwanaume kuna vitu ulimpa huyo mwanamke je mkiachana kuna haja ya kudai vitu vyako? au labda ni kumwacha navyo tu.
nisaidieni maana sipati jibu katika hili!