princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,657
- 19,272
ndioDuuh basi ndiyo maana huwa naskia huu msemo kwenu.... Nimempa utamu wangu
ndioDuuh basi ndiyo maana huwa naskia huu msemo kwenu.... Nimempa utamu wangu
Kampa simu walipoachanaKuna wimbo mmoja wa Issa Kijoti anayaimba haya.
Kidume unaachwa unadai simu... Sema nimeusahau jina.
Haha huo huoKampa simu walipoachana
kampokonya.
Mimi mkuu humwachia tu hata iwe pete ya uchumba, kwasababu nilimpa wakati tukipendana. Kwahio sioni haja ya kumnyanganya, kuna siku akiviangalia moyo utamsuta au atanikumbuka tu. Kuachana sio ugomvi ila mnahitaji kurudi nyuma na kujua nini malengo ya maisha yenu. Zawadi sio kitu utu ndio kila kitu.Ulikuwa na Mpenzi, ndio mlikuwa pamoja kukidhi haja za kimwili japo hata hamkupendana Kihivo.
sasa katika uhusiano wenu labda kwa mfano mwanaume kuna vitu ulimpa huyo mwanamke je mkiachana kuna haja ya kudai vitu vyako? au labda ni kumwacha navyo tu.
nisaidieni maana sipati jibu katika hili!
