Truth Be Told
Senior Member
- Oct 23, 2017
- 121
- 196
kama sugu kaikuta?MKUU UNADAI VITU VYA NINI SASA?YAN UMEIPA SUGU PAPUCHI YAKE NA VITU UPEWE,VITU HUWA TUNAWAACHIA KAMA MAFAO YAO
kama sugu kaikuta?MKUU UNADAI VITU VYA NINI SASA?YAN UMEIPA SUGU PAPUCHI YAKE NA VITU UPEWE,VITU HUWA TUNAWAACHIA KAMA MAFAO YAO
Naona ww unatoa ushauri kwny mambo ya michepuko tuHapana.
Mie na yeye, chake/changu ni chetu.
Ahahahaa hamna bwana. Kwani hapa ni mchepuko au any relationship ambayo imeisha wakati wakeNaona ww unatoa ushauri kwny mambo ya michepuko tu
Kuna uzi upo jukwaa la wakubwa nimeona unatetea michepukoAhahahaa hamna bwana. Kwani hapa ni mchepuko au any relationship ambayo imeisha wakati wake
Mmmh wapi hukoKuna uzi upo jukwaa la wakubwa nimeona unatetea michepuko
Huko tupo wakubwa tuMmmh wapi huko
Kani mention nije. Na mimi ni mkubwa piaHuko tupo wakubwa tu
Kanunua simu kampa demu walivyoachana, kampokonya ×2Kuna wimbo mmoja wa mzee Yusuf anayaimba haya.
Kidume unaachwa unadai simu... Sema nimeusahau jina.
Hahha there you're... Kanunua simu ... Kampokonya hahaKanunua simu kampa demu walivyoachana, kampokonya ×2
Wimbo unaitwa WAPAMBE MSITUJADILI by ISSA KIJOTI
Uzi umeshapelekwa kule huwezi kuuona tena ww sio member wa jukwaa hiloKani mention nije. Na mimi ni mkubwa pia
mwanaume kuna vitu ulimpa huyo mwanamke je mkiachana kuna haja ya kudai vitu vyako?!
Ahaaa duuuh.Uzi umeshapelekwa kule huwezi kuuona tena ww sio member wa jukwaa hilo
Nmeshaquote toka asbh huwezi ona
Hivi sisi kweli hatuna utamu?Ukitaka simu,sijui kodi samani za ndani nk
nakuwekea dyaba ujaze utamu wangu afu na mimi nakurudishia vitu vyako..vyote
Hajui kuwa mpewa hapokonyeki....Hahha there you're... Kanunua simu ... Kampokonya haha
Hivi sisi hatuna utamu?Hajui kuwa mpewa hapokonyeki....
Hamnaga....Hivi sisi kweli hatuna utamu?
Sipo kujadili kama vitu vinrudi ama la... Utamu ndiyo nashida nao.
Wa fumaniziAhaaa duuuh.
Sijui ni uzi upi
Mie bado mdogo,hayo mambo siyajui kwa kweli!Hivi sisi hatuna utamu?