Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,732
Duuh basi ndiyo maana huwa naskia huu msemo kwenu.... Nimempa utamu wanguHamnaga....
nnachoona tu ni jiti linagonga mpaka kibofu cha mkojo
sie wabovu ndo kabisaaa unalia na kulia
Duuh basi ndiyo maana huwa naskia huu msemo kwenu.... Nimempa utamu wanguHamnaga....
nnachoona tu ni jiti linagonga mpaka kibofu cha mkojo
sie wabovu ndo kabisaaa unalia na kulia
Ahaaa wa yule jamaa.Wa fumanizi
Nauliza hivi maana ni mara nyingi naona nyie ndiyo mnajiona mnautamu na mnautoa kwetu.Mie bado mdogo,hayo mambo siyajui kwa kweli!
Wachepukaji si laima mteteeAhaaa wa yule jamaa.
Wame msodoma na video juu. That's not fair
Muachie tu, siku zote kutoa ni moyo sio utajiri.
Wataalamu wanasema nyie ndio huwa mnapata zaidi kwani kila tendo nyie mnafika kileleni wakati kuna wanawake wako kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka 10 na hawajawahi kufika kileleni hata siku moja.Nauliza hivi maana ni mara nyingi naona nyie ndiyo mnajiona mnautamu na mnautoa kwetu.
Nafikiri basi wanatofautian.... Maana kuipima raha lazima uwe umezipata zote kisha upime ipi imezidi... Na hakuna mtu ambaye anaweza kuiingiza na kuingizwa per.Wataalamu wanasema nyie ndio huwa mnapata zaidi kwani kila tendo nyie mnafika kileleni wakati kuna wanawake wako kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka 10 na hawajawahi kufika kileleni hata siku moja.
Hilo ndilo linalofanya watu wahitimishe kuwa wanawake huwapa utamu wanaume.
Aisee!....sikujua kama umebobea katika mambo haya! Itabidi nikutafute kwa muda wangu unipe hii elimu pendwa!Nafikiri basi wanatofautian.... Maana kuipima raha lazima uwe umezipata zote kisha upime ipi imezidi... Na hakuna mtu ambaye anaweza kuiingiza na kuingizwa per.
Ila kwa baadhi ya factor nyie mtakuwa mnaskia raha saana.
Kwanza,
Cotton or ear?
Pili, clitoris na penis....clitoris kina nerves nyingi saana zaidi ya mara mbili zilizopo kwenye penis... Angalia ufanyaji mapenzi wa Ke na Me... Mwanamke anagugumia while mwanaume anahema..angalia kwa punda jike naye hugugumia huku anapanua mdomo while dume anakazana.
Tatu, orgasm ...nadhani utamu haupo kwenye kunaniii ila kile kipindi ndipo unananii hadi kuelekea kunanii ndiyo utamu wenyewe.. Wanaume orgasm yetu inakuja haraka. Na huwa tunaomba ichelewe kweli ili tuendeles kupata utamu... Ila yenu inachelewa na ukipata Me mzuri utajin'gata.
Si kweli.Wachepukaji si laima mtetee
Hahaha karibia uanze na safari kabisa kabla ya kuja.Aisee!....sikujua kama umebobea katika mambo haya! Itabidi nikutafute kwa muda wangu unipe hii elimu pendwa!
Nasikia yupo kwenye paperSamahani joseverest
Kwani yeye alikuwa hapati utamu? Hebu acheni hii habari ya kusema mnatupa utamu, semeni tunapeana utamu!Akiomba urudishe utamu unaweza?
AnareseatNasikia yupo kwenye paper
Itakuwa anasafisha chet(joke)Anareseat
Nikipata safari sitaweza kukuelewa! Itabidi nipumzike kwanza kutumia safari katika kipindi chote cha hili somo pendwa!Hahaha karibia uanze na safari kabisa kabla ya kuja.
Hivi sisi kweli hatuna utamu?
Sipo kujadili kama vitu vinrudi ama la... Utamu ndiyo nashida nao.
Hamnaga....
nnachoona tu ni jiti linagonga mpaka kibofu cha mkojo
sie wabovu ndo kabisaaa unalia na kulia
Kwani yeye alikuwa hapati utamu? Hebu acheni hii habari ya kusema mnatupa utamu, semeni tunapeana utamu!