Isenye
JF-Expert Member
- Dec 22, 2024
- 486
- 2,069
Mko poa humu?
Kuna jamaa yangu amesafiri kwenda majuu, atakaa almost miezi sita huko, sasa ana gari lake aina ya ist kaiacha hapa kwangu, kaniachia na ufunguo, kaniambia niwe naiwasha mara moja moja kuipiga resi ili injini sijui isiwaje anajua mwenyewe. Kaniambia pia niwe napigia misele if possible.
Sasa mimi sijawahi kumiliki gari hivyo sijui hata kuendesha.hivyo naomba msaada mnipe darasa nijifundishe mwenyewe kupiga gia ili na mimi niwaoshee majirani wajue ni yangu.
Kuna jamaa yangu amesafiri kwenda majuu, atakaa almost miezi sita huko, sasa ana gari lake aina ya ist kaiacha hapa kwangu, kaniachia na ufunguo, kaniambia niwe naiwasha mara moja moja kuipiga resi ili injini sijui isiwaje anajua mwenyewe. Kaniambia pia niwe napigia misele if possible.
Sasa mimi sijawahi kumiliki gari hivyo sijui hata kuendesha.hivyo naomba msaada mnipe darasa nijifundishe mwenyewe kupiga gia ili na mimi niwaoshee majirani wajue ni yangu.