Gari yangu aina ya ist inazima nikiwa kwenye mwendo mdogo tatizo litakuwa nini wadau?

Ushauri wangu peleka kwa fundi akuchekie...maana tutakupa majibu ambayo si ya kiufundi tukakuharibia...mfano mi ningesema silencer iko chini uipandishe.... Ona sasa majibu ya sisi tusiomafundi
 
Back
Top Bottom