Nahisi ni fuel pump, pressure ya kupeleka fuel kwenye cylinders inakuwa ndogo sana na gari inajizima inapokwenda taratibu.
Izime hiyo gari kwa muda wa dakika 20 au 30 then washa kamcheki fundi akubadirishie pampuNaomba msaada
Gari yangu aina ya ist inazima nikiwa kwenye mwendo mdogo tatizo litakuwa nini wadau?