Naomba mnifundishe kuendesha gari aina ya IST

Naomba mnifundishe kuendesha gari aina ya IST

Hatua ya kwanza washa gari kisha toa handbrack mguu ukiwa kwenye brack uku chini kisha angalia upande wa gia hapo uweke D kama una enda mbele na kama una rudi nyuma weka R kisha anza kuachia brack pole pole uku mikono ipo kwenye ushukan una chezesha kidogo kwako tumia miguu miwili mmoj kwenye clach mwingine kwenye brak ukisha changanya mwendo mguu mmoja kwenye brack utoe pambana na clach
Duuh clutch tena mkuu au ulimaanisha accelerator, na hata hivyo bado hatakiwi kutumia miguu miwili kwenye auto mguu ni mmoja tu, anakuwa anaswitch kwenye acc na brake hayo mambo ya miguu miwili ni kwenye manual
 
Hatua ya kwanza washa gari kisha toa handbrack mguu ukiwa kwenye brack uku chini kisha angalia upande wa gia hapo uweke D kama una enda mbele na kama una rudi nyuma weka R kisha anza kuachia brack pole pole uku mikono ipo kwenye ushukan una chezesha kidogo kwako tumia miguu miwili mmoj kwenye clach mwingine kwenye brak ukisha changanya mwendo mguu mmoja kwenye brack utoe pambana na clach
Mkuu,ist ina clutch?
 
Mko poa humu?
Kuna jamaa yangu amesafiri kwenda majuu, atakaa almost miezi sita huko, sasa ana gari lake aina ya ist kaiacha hapa kwangu, kaniachia na ufunguo, kaniambia niwe naiwasha mara moja moja kuipiga resi ili injini sijui isiwaje anajua mwenyewe. Kaniambia pia niwe napigia misele if possible.

Sasa mimi sijawahi kumiliki gari hivyo sijui hata kuendesha.hivyo naomba msaada mnipe darasa nijifundishe mwenyewe kupiga gia ili na mimi niwaoshee majirani wajue ni yangu.
Baada ya kuendesha jambo litakua hivi

"Kaka ingia WhatsApp kuna picha nimekutumia"
 
Hatua ya kwanza washa gari kisha toa handbrack mguu ukiwa kwenye brack uku chini kisha angalia upande wa gia hapo uweke D kama una enda mbele na kama una rudi nyuma weka R kisha anza kuachia brack pole pole uku mikono ipo kwenye ushukan una chezesha kidogo kwako tumia miguu miwili mmoj kwenye accelerator mwingine kwenye brak ukisha changanya mwendo mguu mmoja kwenye brack utoe pambana na accelerator
Kwa mwanafunzi hii ni ajali kabisa
Atumie mguu mmoja kuendesha gari na si miguu yote
Kwa sababu hii miguu miwili huwa inawachanganya wanafunzi kwa sababu bado hawajakariri vizuri inapotakiwa breki badala ya breki hukanyaga mafuta na hiyo ndiyo ajali

Kwanza awe anajua pedel ya mafuta na ya breki ni ipi
Alafu kabla ya kuwasha gari lazima akanyage breki kwanza ndiyo awashe gari mguu uwe kwenye brake
Washa gari tia kirungu kwenye D alafu shusha handbrake anza kuachia brake ya mguu taratibu utaona gari inaanza kutembea toa mguu kwenye brake weka kwenye pedel ya mafuta kussuport mwendo
Lakini pedel ya mafuta siyo kama brake hii haihitaji nguvu yoyote kama brake
hii unagusisha tu mguu kidogo sana
Tumia mguu mmoja ukiona mwendo mkali unatoa mguu kwenye mafuta unakanyaga brake mguu huohuo mmoja mguu mwingine huwa hauna kazi kwenye gari hizi outo
 
Hatua ya kwanza washa gari kisha toa handbrack mguu ukiwa kwenye brack uku chini kisha angalia upande wa gia hapo uweke D kama una enda mbele na kama una rudi nyuma weka R kisha anza kuachia brack pole pole uku mikono ipo kwenye ushukan una chezesha kidogo kwako tumia miguu miwili mmoj kwenye accelerator mwingine kwenye brak ukisha changanya mwendo mguu mmoja kwenye brack utoe pambana na accelerator
Hahaha we jamaa gari yake haina hii miguu yote ujue
PXL_20250722_130701332.jpg
 
Back
Top Bottom