Kuna Mijadala Mingi inaendelea, ya wazi na isiyo ya Wazi. Mingine inaumiza, mingine ya Kipropaganda, mingine ya kuchafuana, mingine ya watu wasiojua nini kinaendelea, mingine inafadhiliwa.
Ninaomba kwa sasa kama kweli Zitto sio msaliti, Mimi ambaye namheshimu sana kama Kiongozi katika Chama changu, ambaye muda mwingi nilimpa fursa ya kuja St. Augustine University kama Kiongozi kuja kuhutubia, tumempa heshima, tunamsheshimu lakini naona sasa anachotaka kuwaaminisha watanzania mara zingine kimekuwa na utata. Licha ya mimi kujitoa katika mijadala mingi inayohusu mambo hayo anayodanganya kwa kumheshimu, sasa naona haoni aibu.
Zitto ajitokeze sasa aseme kuwa hakumsaidia Mohamedi Dewji Mbunge wa Singida Mjini wakati wa uchaguzi Mkuu 2010, ajitokeze na Dewji Mwenyewe tuweke mjadala huu wazi kwa manufaa ya nchi yetu.
Nimechoka. Ukweli utatuweka huru, tunahitaji mabadiliko
Ninaomba kwa sasa kama kweli Zitto sio msaliti, Mimi ambaye namheshimu sana kama Kiongozi katika Chama changu, ambaye muda mwingi nilimpa fursa ya kuja St. Augustine University kama Kiongozi kuja kuhutubia, tumempa heshima, tunamsheshimu lakini naona sasa anachotaka kuwaaminisha watanzania mara zingine kimekuwa na utata. Licha ya mimi kujitoa katika mijadala mingi inayohusu mambo hayo anayodanganya kwa kumheshimu, sasa naona haoni aibu.
Zitto ajitokeze sasa aseme kuwa hakumsaidia Mohamedi Dewji Mbunge wa Singida Mjini wakati wa uchaguzi Mkuu 2010, ajitokeze na Dewji Mwenyewe tuweke mjadala huu wazi kwa manufaa ya nchi yetu.
Nimechoka. Ukweli utatuweka huru, tunahitaji mabadiliko