Dogo, nyinyi si mmekatazwa na katibu wenu mkuu kuliongelea hili swala?
Kuna Mijadala Mingi inaendelea, ya wazi na isiyo ya Wazi. Mingine inaumiza, mingine ya Kipropaganda, mingine ya kuchafuana, mingine ya watu wasiojua nini kinaendelea, mingine inafadhiliwa.
Ninaomba kwa sasa kama kweli Zitto sio msaliti, Mimi ambaye namheshimu sana kama Kiongozi katika Chama changu, ambaye muda mwingi nilimpa fursa ya kuja St. Augustine University kama Kiongozi kuja kuhutubia, tumempa heshima, tunamsheshimu lakini naona sasa anachotaka kuwaaminisha watanzania mara zingine kimekuwa na utata. Licha ya mimi kujitoa katika mijadala mingi inayohusu mambo hayo anayodanganya kwa kumheshimu, sasa naona haoni aibu.
Zitto ajitokeze sasa aseme kuwa hakumsaidia Mohamedi Dewji Mbunge wa Singida Mjini wakati wa uchaguzi Mkuu 2010, ajitokeze na Dewji Mwenyewe tuweke mjadala huu wazi kwa manufaa ya nchi yetu.
Nimechoka. Ukweli utatuweka huru, tunahitaji mabadiliko
ben kuna point ulikuwa unadrive hapa go ahead ili issango afunge
hawezi kuthubutu, zitto ni muoga sana ! Na kwa vile NCHIMBI kachinjiwa baharini ndiyo kabisaaa !
Sasa zitto ana nguvu gani hp nchini mpk aache jimbo lake akamsaidie MO
Sasa zitto ana nguvu gani hp nchini mpk aache jimbo lake akamsaidie MO
Hakuna mjadala Zitto ni msaliti namba moja akishirkiana na CCM kuichakachua CHADEMA lakini ameshtukiwa mapema mchana kweupe na ndo maana muda mwingi maccm wametumia kumsaidia huyu pandikizi.
Ni mawazo ya Gongo wanayo ipigia debe. Naona anataka kusema kua Mo alikopeshwa pesa ZZK!
Zitto anajiona ni genius na watanzania wote ni wajinga na mazuzu wasioelewa mambo!!
Mwisho wa Zitto utakuwa mbaya sana,kashapindikizwa udini na mkulu!!!
Kuna Mijadala Mingi inaendelea, ya wazi na isiyo ya Wazi. Mingine inaumiza, mingine ya Kipropaganda, mingine ya kuchafuana, mingine ya watu wasiojua nini kinaendelea, mingine inafadhiliwa.
Ninaomba kwa sasa kama kweli Zitto sio msaliti, Mimi ambaye namheshimu sana kama Kiongozi katika Chama changu, ambaye muda mwingi nilimpa fursa ya kuja St. Augustine University kama Kiongozi kuja kuhutubia, tumempa heshima, tunamsheshimu lakini naona sasa anachotaka kuwaaminisha watanzania mara zingine kimekuwa na utata. Licha ya mimi kujitoa katika mijadala mingi inayohusu mambo hayo anayodanganya kwa kumheshimu, sasa naona haoni aibu.
Zitto ajitokeze sasa aseme kuwa hakumsaidia Mohamedi Dewji Mbunge wa Singida Mjini wakati wa uchaguzi Mkuu 2010, ajitokeze na Dewji Mwenyewe tuweke mjadala huu wazi kwa manufaa ya nchi yetu.
Nimechoka. Ukweli utatuweka huru, tunahitaji mabadiliko
mkuu wewe ndo isango ulieingizwa mkenge na zito jimbo la singida mjini? Kama ni wewe najua utakuwa na mengi moyoni... Hebu tiririka mkuu