VictoniX
Member
- Jan 12, 2022
- 9
- 5
Naomba masaada kwa wenye kufahamu zaidi nahitaji kuagiza mzigo AliExpress nishaweka order zangu kwenye cart lakini sina uzoefu wowote wa kununua bidhaa online kwa njia hii, nimewahi kununua kupitia kikuu pekee...
Nahisi namna ya kuagiza sio shida sana maana naweza kusoma kwenye tovuti yao na nikaelewa cha kufanya lakini tatizo kubwa linakuja kwenye namna ya kupokea mzigo baada ya kufika nchini maana sina hakika kama AliExpress nao wanaoffice nchini kama ilivyo kwa kikuu.
Pia ningependa kutambua jinsi ya kufunga mizigo yote kwenye parcel moja ili kama ikifika ifike yote kwa pamoja nafikili ni njia nzuri zaidi na pengine inaweza ikapunguza cost za usafirishaji ingawa sina uhakika sana katika hili naomba pia msaada kuelezewa kiundani kwa mwenye uzoefu zaidi.
Bidhaa ninazohitaji kuagiza ni componets ndogondogo za electronics kama regulators, resistors, capacitors, transistors n.k
kwajili ya matumizi yangu binafsi.
Kama kuna maandalizi yakufanya kabla ya kuagiza naomba mnisaidie kufahamu tafadhali AU kama kuna njia nzuri zaid ya kuagiza tofauti na AliExpress pia naomba kusidiwa kufahamu kwa mwenye uelewa zaidi
Vitu ninavyohitaji kufahamishwa zaidi:
Nahisi namna ya kuagiza sio shida sana maana naweza kusoma kwenye tovuti yao na nikaelewa cha kufanya lakini tatizo kubwa linakuja kwenye namna ya kupokea mzigo baada ya kufika nchini maana sina hakika kama AliExpress nao wanaoffice nchini kama ilivyo kwa kikuu.
Pia ningependa kutambua jinsi ya kufunga mizigo yote kwenye parcel moja ili kama ikifika ifike yote kwa pamoja nafikili ni njia nzuri zaidi na pengine inaweza ikapunguza cost za usafirishaji ingawa sina uhakika sana katika hili naomba pia msaada kuelezewa kiundani kwa mwenye uzoefu zaidi.
Bidhaa ninazohitaji kuagiza ni componets ndogondogo za electronics kama regulators, resistors, capacitors, transistors n.k
kwajili ya matumizi yangu binafsi.
Kama kuna maandalizi yakufanya kabla ya kuagiza naomba mnisaidie kufahamu tafadhali AU kama kuna njia nzuri zaid ya kuagiza tofauti na AliExpress pia naomba kusidiwa kufahamu kwa mwenye uelewa zaidi
Vitu ninavyohitaji kufahamishwa zaidi:
- Namna ya kufunga mizigo yote ije kwenye parcel moja kama inawezekana kufanya hivyo
- Namna ntakavyopokea mzigo wangu baada ya kufika Tanzania na mahali ninapotakiwa kwenda kupokelea mzigo
- Kufahamishwa kuhusu tozo zozote za kiserikali ili kupokea mzigo (kama zipo) na tathimini ya gharama kwa harakaharaka