Msaada kuagiza mzigo toka Nigeria

mabwiku

JF-Expert Member
Jun 7, 2015
447
389
Habari wadau,naomba msaada kuagiza mzigo kutoka Nigeria,ni ki parcel cha kubeba mkononi,mwanzo nimeagiza kupitia DHL bei ni kubwa na bado mpaka sasa sijapata, sababu ni watu wa customer TRA hawakubaliani na bei niliyoagizia wakati reference zote zipo mpaka za malipo,hivyo wameniomba bei kubwa sana mpaka nimeamua kuachana nao.

Naomba kama kuna njia nzuri zaidi ya kuagiza ambayo haina usumbufu wa hawa jamaa
 
Habari wadau,naomba msaada kuagiza mzigo kutoka Nigeria,ni ki parcel cha kubeba mkononi,mwanzo nimeagiza kupitia DHL bei ni kubwa na bado mpaka sasa sijapata, sababu ni watu wa customer TRA hawakubaliani na bei niliyoagizia wakati reference zote zipo mpaka za malipo,hivyo wameniomba bei kubwa sana mpaka nimeamua kuachana nao.

Naomba kama kuna njia nzuri zaidi ya kuagiza ambayo haina usumbufu wa hawa jamaa
 
Back
Top Bottom