Blacklight
Member
- Jun 5, 2023
- 7
- 8
Naombeni msaada Kwa wenye uzoefu katika jambo hili.Nilikuwa nahitaji kuagiza ngano na mafuta ya kula Moja Kwa Moja kutoka kiwandani.Hivyo naomba kujua utaratibu wake upoje,wanaanzia pcs ngapi minimum,namna ya kuweka order na utofauti wa Bei maybe ukilinganisha na ya wholesalers Huwa inarange tshs ngapi,pia kama Kuna mambo ya kisheria kwenye Kodi nayo inakuwaje