MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
1. Je, kati ya Goli alilofunga Balama Mapinduzi dhidi ya Simba SC na alilofunga jana Jose Miqquissone dhidi ya Al Ahly ni lipi ni Tamu na la Kiufundi ambalo hata Benki ya Dunia ikikudai Mkopo wake inaweza Kukusamehe?
2. Je, anayeongoza katika Msimamo wa Ligi Kuu ya Tanzania na Yule anayeongoza Ligi ya Mabingwa Afrika katika Kundi lake ambalo ni la Kifo pia nani Mwanaume wa Shoka na Mvulana wa Mundu?
Nayasubiri sana majibu yenu Wandugu.
2. Je, anayeongoza katika Msimamo wa Ligi Kuu ya Tanzania na Yule anayeongoza Ligi ya Mabingwa Afrika katika Kundi lake ambalo ni la Kifo pia nani Mwanaume wa Shoka na Mvulana wa Mundu?
Nayasubiri sana majibu yenu Wandugu.