Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,712
Mkuu nakubaliana na maoni yako, lakini hebu tufanye ni mchumba na mko kwenye michakato ya kufunga ndoa au ndio mmefunga ndoa mwaka mmoja uliopita (Na Ndoa bado haijajibu) halafu anapata hiyo nafasi ya kwenda ughaibuni kuongeza ilmu, na wewe ni mwajiriwa ukiwa na nafasi ya kawaida tu...........Hii ina maana kwamba akirudi cheo kitapanda na responsibility zitaongezeka lakini pia atakuzidi kipato.......... Hebu niambie hapo unachukua uamuzi gani?
Inauma sana aisee!Yani nita. . . . . . . . !