Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,402
- 58,951
Ongeza Njombe.Iringa, Mbeya, Moshi (Vijijini) na Arusha. Huko kwengine ni utopolo tu
Hii ni Geographically and Scientifically proved:
1) ARUSHA
2) KILIMANJARO
3) TANGA (Lushoto in particular)
4) MBEYA
5) IRINGA
6) NJOMBE
6) MOROGORO
7) PWANI
Lushoto hiyowapi hapa kiongozi?
Sana karibu milimani hukuPazuriš
Kigoma na Rukwa!?Hii ni Geographically and Scientifically proved:
1) ARUSHA
2) KILIMANJARO
3) TANGA (Lushoto in particular)
4) MBEYA
5) IRINGA
6) NJOMBE
6) MOROGORO
7) PWANI
Haswaa,hususani Mogabiri kwenda Nyantira,Nyanungu,Magoto,Kimusi,Nyansincha,Muriba.Nyarero, Nyandoto hadi Sirari hapo ata furahiaMara ni kuzuri especially huku kwa wakurya Tarime. Karibu tuishi. Hali ya hewa nzuri, watu wakarimu (kama hujawachokoza au hujala cha watu), mazao karibu yote yanastawi, wana misimu miwili ya kulima kwahiyo hakuna njaa ya chakula wala matunda. Hela iko nje ya mlango wako ni wewe tu kupambana kuitafuta.
Morogoro "NO"Naunga mkono
Wazee wa mapanga, Ugomvi kidogo wanakimbilia mapangaMara siwezi kuishi wakurya wana mambo ya ajabu!
Mara siwezi kuishi wakurya wana mambo ya ajabu!
Arusha ni kuanzia King'ori, Kikatiti, Usariva, Tengeru mpaka Mianziani kwa maana nyingine barabara ya Arusha - Moshi kifuatacho sehemu nyingine ni ukame hasaHii ni Geographically and Scientifically proved:
1) ARUSHA
2) KILIMANJARO
3) TANGA (Lushoto in particular)
4) MBEYA
5) IRINGA
6) NJOMBE
6) MOROGORO
7) PWANI
Hao jamaa (Wakurya) ni wakarimu sana na ukiona mtu amepigwa panga ujue ni ugomvi wa muda mrefu na alishapewa warning, huwa hawapigi panga tu mtu kama tunavyowafikiria (wana waheshimu sana watu wengine kutoka makabila mengine)
Hali nzuri ya hewa ni ip ? Baridi? Joto?. Mvua? Mawingu??Ni mikoa ipi ambayo ina hali nzuri ya hewa, isiwe na jua kali sana.yani mara nyingi iwe cool au warm.
Green city napaelewa sana baridi most of the time napenda sanaMbeya (Tukuyu)