Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,338
Mkoa ni GeitaNi mikoa ipi ambayo ina hali nzuri ya hewa, isiwe na jua kali sana.yani mara nyingi iwe cool au warm.
Ila ukitaka nyongeza ya wilaya ni Chato.
Nawasilisha
Mkoa ni GeitaNi mikoa ipi ambayo ina hali nzuri ya hewa, isiwe na jua kali sana.yani mara nyingi iwe cool au warm.
Kweli brother nipo karagweHiyo sehemu ipo Ikweta, lazima mziki wa jua uucheze
Mbona kule migomba ndo inastawi vizuri na ndo zao inategemea mvua nyingiHiyo sehemu ipo Ikweta, lazima mziki wa jua uucheze
Nyanda za juu kusini magharibiNi mikoa ipi ambayo ina hali nzuri ya hewa, isiwe na jua kali sana.yani mara nyingi iwe cool au warm.
Kilimanjaro hakuna baridArusha, Kilimanjaro, Iringa, Njombe na Mbeya.
Lushoto iko poa changamoto ni ile baridi,nakumbuka nilimpeleka dogo kufanya interview ya kifungilo girls pale lushoto primary, hotel tuliofikia kila asubui na jioni tulikua tunachemshiwa maji ,bila ivo huogi ata mwezi unaisha.lushoto. huku ni balaa pako kama kuna ac.. ukiwa pale mombo pana joto si kitoto ile hali ya hewa unashuka kadri unavopanda height kuelekea lushoto, hakuna raha kama kile kihali ya hewa kinavoshuka ukiwa unapanda juu. kamji flani ivi kamejaa wazungu .. na hata ngozi ya wenyeji ni ang'avu sababu ya hali ya hewa. matunda na vyakula kama parachichi, ndizi za kumwaga
Hio Dar na Morogoro hapo zinafanya nini mzee?1. Kagera
2. Dar
3. Morogoro
4. Pwani
5. Njombe
6.mbeya
7.Iringa
Naunga mkonoHii ni Geographically and Scientifically proved:
1) ARUSHA
2) KILIMANJARO
3) TANGA (Lushoto in particular)
4) MBEYA
5) IRINGA
6) NJOMBE
6) MOROGORO
7) PWANI
Migomba sio zao ls kwenye baridi.Njombe,mporoti,Iringa,makambako umeona kuna ndizi? Mvua nyingi sio lazoma iwe baridi,.Moro Ndizi zinakubali kila wilaya ila hakuna baridi.Mbona kule migomba ndo inastawi vizuri na ndo zao inategemea mvua nyingi
wapi hapa kiongozi?