Edsger wybe Dijkstra
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 220
- 436
Ni mikoa ipi ambayo ina hali nzuri ya hewa, isiwe na jua kali sana.yani mara nyingi iwe cool au warm.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1. KageraNi mikoa ipi ambayo ina hali nzuri ya hewa ,isiwe na jua kali sana.yani mara nyingi iwe cool au warm.
Kagera kuna kipindi utafikiri jua lime-lose altitude1. Kagera
2. Dar
3. Morogoro
4. Pwani
5. Njombe
6.mbeya
7.Iringa
Hiyo sehemu ipo Ikweta, lazima mziki wa jua uuchezeKagera kuna kipindi utafikiri jua lime lose altitude
Mara1. Kagera
2. Dar
3. Morogoro
4. Pwani
5. Njombe
6.mbeya
7.Iringa
Dar????1. Kagera
2. Dar
3. Morogoro
4. Pwani
5. Njombe
6.mbeya
7.Iringa
Chato ndiyo penyewe. Japo haujawa mkoa ila utakuwa mkoa soonestNi mikoa ipi ambayo ina hali nzuri ya hewa, isiwe na jua kali sana.yani mara nyingi iwe cool au warm.
Dar,pwani? Ww hii mikoa naijua nimeishi ,joto kali kinoma.1. Kagera
2. Dar
3. Morogoro
4. Pwani
5. Njombe
6.mbeya
7.Iringa
Mara siwezi kuishi wakurya wana mambo ya ajabu!Mara
Hii ni Geographically and Scientifically proved:Ni mikoa ipi ambayo ina hali nzuri ya hewa, isiwe na jua kali sana.yani mara nyingi iwe cool au warm.
Mara ni kuzuri especially huku kwa wakurya Tarime. Karibu tuishi. Hali ya hewa nzuri, watu wakarimu (kama hujawachokoza au hujala cha watu), mazao karibu yote yanastawi, wana misimu miwili ya kulima kwahiyo hakuna njaa ya chakula wala matunda. Hela iko nje ya mlango wako ni wewe tu kupambana kuitafuta.Mara siwezi kuishi wakurya wana mambo ya ajabu!
Umetisha mkuu baridi kali kama upo kwa putinArusha, Kilimanjaro, Iringa, Njombe na Mbeya.