Naomba kujuzwa Mikoa yenye hali nzuri ya hewa

Mara siwezi kuishi wakurya wana mambo ya ajabu!
Mara ni kuzuri especially huku kwa wakurya Tarime. Karibu tuishi. Hali ya hewa nzuri, watu wakarimu (kama hujawachokoza au hujala cha watu), mazao karibu yote yanastawi, wana misimu miwili ya kulima kwahiyo hakuna njaa ya chakula wala matunda. Hela iko nje ya mlango wako ni wewe tu kupambana kuitafuta.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom