kevin strootman
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,077
- 1,728
Ukiachana na Dar es Salaam, natamani kujua wilaya nzuri Kwa ajili ya kuishi, ambayo inaweza ikawa pia nzuri Kwa kufanya biashara, Hali ya hewa iwe nzuri, kununua ardhi isiwe ghali kama dar, maji, umeme viwe uhakika.
Karibuni, bila kusahau internet iwe 4G uhakika mitandao yote
Karibuni, bila kusahau internet iwe 4G uhakika mitandao yote