The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,151
- 20,068
Kwanza niseme mimi ni deist kwa sasa(imani yangu bado inakua)
Nina uelewa kiasi flani kuhusu uislam na misingi yake, lakini pia nina ufahamu mkubwa wa ukiristo, ukiachia mbali ndio mfumo wa imani niliokulia, lakini pia ndio mfumo wa maisha ninaouishi.
kuna utaratibu wa watu kupeleka ndugu zao waliokufa katika nyumba za ibada kuwaombea kabla hawajazika.
Naomba kujua mantiki (logic) ya hicho kitendo. imani inazungumzia walio hai na inawataka wao wakiwa hai waamini.
Kama maombi kwa marehemu yanaweza au yanabadili hatima yake, kuna haja gani mtu kuamini akiwa hai wakati hata akifanya mabaya bado siku akifa ataombewa na atasamehewa na huyo Mungu?
naomba kujua kwa imani yako umuhimu wa maombi kwa marhemu.
Natanguliza shukrani.
Nina uelewa kiasi flani kuhusu uislam na misingi yake, lakini pia nina ufahamu mkubwa wa ukiristo, ukiachia mbali ndio mfumo wa imani niliokulia, lakini pia ndio mfumo wa maisha ninaouishi.
kuna utaratibu wa watu kupeleka ndugu zao waliokufa katika nyumba za ibada kuwaombea kabla hawajazika.
Naomba kujua mantiki (logic) ya hicho kitendo. imani inazungumzia walio hai na inawataka wao wakiwa hai waamini.
Kama maombi kwa marehemu yanaweza au yanabadili hatima yake, kuna haja gani mtu kuamini akiwa hai wakati hata akifanya mabaya bado siku akifa ataombewa na atasamehewa na huyo Mungu?
naomba kujua kwa imani yako umuhimu wa maombi kwa marhemu.
Natanguliza shukrani.