Pamoja sana mkuu. SALUTE....Mkuu umenikumbusha mbali sana (hand of thanks)
......
Watangazaji nguli wengi ni uzao wa RTD now they call TBC, ila uzao wa jk hawajui kama kuna kulikuwa na hiyo kitu as "mama na mwana"
Pamoja sana mkuu. SALUTE....Mkuu umenikumbusha mbali sana (hand of thanks)
......
Watangazaji nguli wengi ni uzao wa RTD now they call TBC, ila uzao wa jk hawajui kama kuna kulikuwa na hiyo kitu as "mama na mwana"
Mkuu Salim Kikeke hajawahi kufanya kazi ITV or Radio one....
Alijaribu kuomba kazi akakosa.
Dr.Bisanya BingiJESE JOHN -TBC MICHEZO
ENOCK BUNYANE-TBC MICHEZO
FRED FELEX MASAWE - CLOUDS
ILA WENGI WAZURI WAMEPITIA ITV/RADIO ONE Bety Mkwasa, Misanya Bengi, Abdalla Majura, Rukia Mtingwa, idd ligongo, Neema mbuja, n.k
Radio ng'ong'ona FMHuyu ni mtangazaji wa radio gani mkuu.
Halima Kihemba.
Sarah Dumba (RIP)
David Wakati. (RIP)
Deborah Mwenda.
Tido Mhando.
Chilambo Dominic. (RIP)
Jacob Tesha. (RIP)
Tumbo Risasi.
Siwatu Luwanda.
Penzi Nyamungumi.
Rochus Matipa (External Service).
Neema Kipungahelo.
Khalid Ponera.
Idrisa Sadala. (RIP)
Eda Sanga.
Chisunga Steven. (Ugua Pole). (RIP)
Wengi hapa ni marehemu
wewe kweli kichwani hazimoMkuu Salim Kikeke hajawahi kufanya kazi ITV or Radio one....
Alijaribu kuomba kazi akakosa.