GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,638
- 108,996
"Wanaume mlioko hapa katika hiki Kipindi cha Malumbano ya Hoja naomba niwaambieni Ukweli kama una Mke au Mpenzi wako anafanya Kazi Ofisi yoyote ile jua ya kwamba kapata hiyo Kazi na Cheo kama anacho kwa kutoa Rushwa ya Ngono na bado anaendelea kuitoa mpaka sasa ili Kulinda hiyo Ajira yake na hicho Cheo chake" amesema Dada Mchangiaji wa Kipindi cha Malumbano ya Hoja cha ITV na Radio One ambacho kwa Siku ya Leo kilijikita zaidi katika Suala zima la Rushwa na Udhibiti wake.
Sasa kama Mwanamke Mwenyewe ameshakiri kuwa Wake za Watu na Mademu zao Walioko Maofisini wamepata Kazi (Ajira) hizo na Vyeo walivyonavyo kwa Kubanduliwa na Wakubwa ( Mabosi ) na kwamba mpaka leo bado (Wanabanduliwa) bila Huruma Mimi GENTAMIYCINE ni nani nibishe au nimpinge?
Mlio na Wake na Mademu zenu huko Maofisini huku Wengine wakiwa ni Mabosi nawapeni Pole nyingi kwani huenda Usiku mkiwa nao Majumbani mwenu huwa mnakula Makombo tu kwani tayari naniliu zao zinakuwa zimechakazwa na kutifuliwa mno na Mabosi zao huko Maofisini.
Ndiyo maana wenye Akili hatutaki Wake na Mademu zetu wakafanye Kazi Maofisini ila tutajichanga na Kuwafungulia Miradi Majumbani au Kushirikiana nao Ng'adu kwa Ng'adu katika Shughuli zetu huku tukiwa tunawaona na Kuwadhibiti kiurahisi.
Yaani kabisa GENTAMIYCINE niwe na Mke / Demu mkali kama Shunie na cocastic ambaye Boss adriz anawatamani katika Kampuni / Ofisi yake halafu nimruhusu akatafute Ajira (Kazi) kule?
Hivi siionei Huruma kweli hiyo ( Naniliu ) yake kwa jinsi itakavyochakatwa bila Huruma kisha Jioni ikirejea Kwangu nakuta Makombo tu ya Mabosi / Wakubwa wa Maofisini?
Kesho tarehe 7 July ni Public Holiday ( Sikukuu ya Saba Saba ) hivyo zinapumzishwa na Mabosi hawazipati hivyo GENTAMIYCINE nawasihi kuanzia Usiku huu zitumieni vizuri tu huko Majumbani / Maghettoni mwenu kwani kuanzia Jumatatu ijayo hadi Ijumaa ijayo itakuwa ni zamu za Mabosi / Wakubwa zao Maofisini na nyie Waume na Mabwana Kula tu Makombo na wakati mwingone hata ukipangiwa Idadi ya Mabao ya Kupiga kwakuwa anakuwa ameshachoshwa sana Kingono Ofisini na Mkubwa / Bosi.
Sasa kama Mwanamke Mwenyewe ameshakiri kuwa Wake za Watu na Mademu zao Walioko Maofisini wamepata Kazi (Ajira) hizo na Vyeo walivyonavyo kwa Kubanduliwa na Wakubwa ( Mabosi ) na kwamba mpaka leo bado (Wanabanduliwa) bila Huruma Mimi GENTAMIYCINE ni nani nibishe au nimpinge?
Mlio na Wake na Mademu zenu huko Maofisini huku Wengine wakiwa ni Mabosi nawapeni Pole nyingi kwani huenda Usiku mkiwa nao Majumbani mwenu huwa mnakula Makombo tu kwani tayari naniliu zao zinakuwa zimechakazwa na kutifuliwa mno na Mabosi zao huko Maofisini.
Ndiyo maana wenye Akili hatutaki Wake na Mademu zetu wakafanye Kazi Maofisini ila tutajichanga na Kuwafungulia Miradi Majumbani au Kushirikiana nao Ng'adu kwa Ng'adu katika Shughuli zetu huku tukiwa tunawaona na Kuwadhibiti kiurahisi.
Yaani kabisa GENTAMIYCINE niwe na Mke / Demu mkali kama Shunie na cocastic ambaye Boss adriz anawatamani katika Kampuni / Ofisi yake halafu nimruhusu akatafute Ajira (Kazi) kule?
Hivi siionei Huruma kweli hiyo ( Naniliu ) yake kwa jinsi itakavyochakatwa bila Huruma kisha Jioni ikirejea Kwangu nakuta Makombo tu ya Mabosi / Wakubwa wa Maofisini?
Kesho tarehe 7 July ni Public Holiday ( Sikukuu ya Saba Saba ) hivyo zinapumzishwa na Mabosi hawazipati hivyo GENTAMIYCINE nawasihi kuanzia Usiku huu zitumieni vizuri tu huko Majumbani / Maghettoni mwenu kwani kuanzia Jumatatu ijayo hadi Ijumaa ijayo itakuwa ni zamu za Mabosi / Wakubwa zao Maofisini na nyie Waume na Mabwana Kula tu Makombo na wakati mwingone hata ukipangiwa Idadi ya Mabao ya Kupiga kwakuwa anakuwa ameshachoshwa sana Kingono Ofisini na Mkubwa / Bosi.