Naomba kujuzwa kama kuna mtangazaji mkubwa wa redio na Televisheni za kiswahili ambaye hajapitia ITV na Radio one

Ama kweli JF imejaa watoto siku hizi!

Halima Kihemba.
Sarah Dumba (RIP)
David Wakati.
Deborah Mwenda.
Tido Mhando.
Chilambo Dominic.
Jacob Tesha.
Tumbo Risasi.
Siwatu Luwanda.
Penzi Nyamungumi.
Rochus Matipa (External Service).
Neema Kipungahelo.
Khalid Ponera.
Idrisa Sadala.
Eda Sanga.
Chisunga Steven. (Ugua Pole).

Just to name a few.......
Hawa ni Legends katika sekta ya Utangazaji Tanzania. SALUTE.
Tumbo Tamimu Risasi
Maiko Katembo,
Salim Mbonde,
Ananilea Nkya,
... Tido Muhando akianza na jina la "Dastan Tido Mhando"
Na bengine baendeleee......
 
Mkuu ila Radio iliotoa watangazaji wengi wenye majina hapa Tanzania,, ni Radio Free Africa/Sahara media group
Godwin Gondwe
Paul James Sweya
Alex Ngussa
KidBoy
SkyWalker
Hapo namfahamu Godwin Gondwe tu. Na huyu nilimfahamia ITV/Radio One

Hao wasukuma wengine wako wapi hivi sasa?
 
Ama kweli JF imejaa watoto siku hizi!

Halima Kihemba.
Sarah Dumba (RIP)
David Wakati.
Deborah Mwenda.
Tido Mhando.
Chilambo Dominic.
Jacob Tesha.
Tumbo Risasi.
Siwatu Luwanda.
Penzi Nyamungumi.
Rochus Matipa (External Service).
Neema Kipungahelo.
Khalid Ponera.
Idrisa Sadala.
Eda Sanga.
Chisunga Steven. (Ugua Pole).

Just to name a few.......
Hawa ni Legends katika sekta ya Utangazaji Tanzania. SALUTE.
Nassoro Nsekeni
Salim Mbonde
Omar Jongo
Ahmed Jongo
Julius Nyaisanga
Charles Hilary
Mikidadi Mahmood
Pascal Mayalla
Masoud Masoud
Sekioni Kitojo
Aboubakar Liongo
Swedi Mwinyi
Juma Mkamia
Betty Chalamila (Mkwassa)

Fundi mitambo Domitila Urasa (RIP)

Hii ilikuwa RTD sasa....
 
Usiseme kutoka IPP media, sema kupitia. Wengi waliopitia hapo walitokea RTD, km anko J. Nyaisanga, Charz Hilari, Ahmed Kipozi, Abdalla Majura, Abubakary Liongo nk, na ndo waliweka msingi WA vipindi vingi vilivyopo leo
Well Said kaka mkubwa.

RTD ndio baba lao.
 
Mkuu ila Radio iliotoa watangazaji wengi wenye majina hapa Tanzania,, ni Radio Free Africa/Sahara media group
Godwin Gondwe
Paul James Sweya
Alex Ngussa
KidBoy
SkyWalker
PJ
Gondwe
Ngussa
.....wote wamepita ITV
 
Mkuu ila Radio iliotoa watangazaji wengi wenye majina hapa Tanzania,, ni Radio Free Africa/Sahara media group
Godwin Gondwe
Paul James Sweya
Alex Ngussa
KidBoy
SkyWalker
sidhani kama inaishinda IPP Media..

Julius Nyaisanga (R.I.P)
Betty Mkwasa
Anna Mollel
Abubakar Sadik
Iddi Ligongo (VOA)
Rose Chitala (BBC)
Sudy Mnete (DW)
n.k
 
Ama kweli JF imejaa watoto siku hizi!

Halima Kihemba.
Sarah Dumba (RIP)
David Wakati.
Deborah Mwenda.
Tido Mhando.
Chilambo Dominic.
Jacob Tesha.
Tumbo Risasi.
Siwatu Luwanda.
Penzi Nyamungumi.
Rochus Matipa (External Service).
Neema Kipungahelo.
Khalid Ponera.
Idrisa Sadala.
Eda Sanga.
Chisunga Steven. (Ugua Pole).

Just to name a few.......
Hawa ni Legends katika sekta ya Utangazaji Tanzania. SALUTE.
Ongeza,
Ben Kikko (RIP),
Abdul Masoud (RIP),
Mshindo Mkeyenge, Bati Kombwa etc.
 
Mkuu ila Radio iliotoa watangazaji wengi wenye majina hapa Tanzania,, ni Radio Free Africa/Sahara media group
Godwin Gondwe
Paul James Sweya
Alex Ngussa
KidBoy
SkyWalker
Godwin Gondwe naye pia alishapitiaga ITV, news Anchor, Milard Ayo pia alishawahi pitia ITV news Anchor wa Habari za Michezo etc, Maulid kitenge vivyo pia, wapo wengi sana tu
 
Ukisikiliza clouds radio au efm utadhani vijana wapo kawahani wanapiga soga.

Hizi redio ni za vijana tu, watu wa umri kidogo hawawezi kuelewa kinachoongelewa.
 
Mkuu Salim Kikeke hajawahi kufanya kazi ITV or Radio one....

Alijaribu kuomba kazi akakosa.
Humjui na unajifanya kumjua! Soma alichoandika mwenyewe

"After Radio Tanzania, I joined Channel
10 where I presented both in English
and Kiswahili until 2001, then I moved
to ITV , a Tanzanian TV station where I
was an English presenter"

Kwa hiyo Salim Kikeke alishafanyakazi ITV, pengine ulikuwa bado unanyonya!
 
Mkuu umenikumbusha mbali sana (hand of thanks)
......
Watangazaji nguli wengi ni uzao wa RTD now they call TBC, ila uzao wa jk hawajui kama kuna kulikuwa na hiyo kitu as "mama na mwana"
Ama kweli JF imejaa watoto siku hizi!

Halima Kihemba.
Sarah Dumba (RIP)
David Wakati.
Deborah Mwenda.
Tido Mhando.
Chilambo Dominic.
Jacob Tesha.
Tumbo Risasi.
Siwatu Luwanda.
Penzi Nyamungumi.
Rochus Matipa (External Service).
Neema Kipungahelo.
Khalid Ponera.
Idrisa Sadala.
Eda Sanga.
Chisunga Steven. (Ugua Pole).

Just to name a few.......
Hawa ni Legends katika sekta ya Utangazaji Tanzania. SALUTE.
 
Back
Top Bottom