Naomba kujua Nyumba zinazonukia, Wanafanyaje?

Kuna nyumba niliingia hivi karibuni dah ilikuwa ina nukia harufu nzuri ajabu

nimejikuta niko curious na nini hasa wanatumia....hadi nyumba inanukia vile

nilishindwa kuuliza sababu kilichonipeleka kilikuwa kingine kabisa

wenye tips za kuwezesha nyumba zetu zinukie hebu wekeni hapa

ni nini hasa mnatumia?

Hata udi unafanya nyumba inanukia vizuri sana
 
Kuna nyumba niliingia hivi karibuni dah ilikuwa ina nukia harufu nzuri ajabu

nimejikuta niko curious na nini hasa wanatumia....hadi nyumba inanukia vile

nilishindwa kuuliza sababu kilichonipeleka kilikuwa kingine kabisa

wenye tips za kuwezesha nyumba zetu zinukie hebu wekeni hapa

ni nini hasa mnatumia?
Mkuu ungeuliza tu, au nenda siku nyingine waambie dhumuni hasa la kukupeleka pale mara ya pili, uje utupe mrejesho.
 
Kuna nyumba niliingia hivi karibuni dah ilikuwa ina nukia harufu nzuri ajabu

nimejikuta niko curious na nini hasa wanatumia....hadi nyumba inanukia vile

nilishindwa kuuliza sababu kilichonipeleka kilikuwa kingine kabisa

wenye tips za kuwezesha nyumba zetu zinukie hebu wekeni hapa

ni nini hasa mnatumia?
Kuna mashine za automatic air fresheners zinazotumia umeme au betri
 
  • Thanks
Reactions: sho
Mkuu air freshener pekee haifanyi nyumba kunukia kihivyo. Wengi hutumia vyetezo na kuchomea kwa manukato ya kiarabu nenda kwenye maduka ya kiarabu ulizia utazipata. Kwenye gari mimi hutumia air freshener za kijapan inaitwa JDM.

Nielekeze nitaipata wapi na bei elekezi. Nipo Dar.
 
Nini udi au jdm(air freshener ya gari)?


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️

Air fresher ya gari ndugu. Nina gari ndogo.
Jamaa alikua anatumia hii fresher nimeipiga picha. Tatizo haipo sinza kote.

IMG_20200912_205549_0.jpg
 
Nikiwa mwakilishi wa nyumba zinazonuka nimetumwa niulize kama turaruhusiwa kuweka comment zetu mwishoni mwa uzi
 
Mimi kwangu huwa natumia air fresheners za kuchomeka kwenye soketi za umeme na ambazo ninaweza kudhibiti kiasi cha marashi yatokayo.

Baadaye nitaweka picha hapa muone nachozungumzia.

Jingine ni kutumia scented candles. Napendelea zaidi brand ya Yankee Candle.

Na huwa sipendi kupika vyakula vyenye shombo kali kama vile kukaanga samaki na kadhalika.

Nikikaanga samaki huwa nakaangia nje kwenye deck.

Halafu huwa napendelea zaidi marashi ya fresh na citrus.

Usafi wa nyumba nao husaidia pia. Hakikisha nyumba yako ni safi na yenye kuingiza na kutoa hewa vizuri.
Nitakuja kukutembelea mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom