Kibambala cha nini ye achemshe ngele tuUkifika Ukerewe utashangaa na roho yako,unakijua kibambala?kikipikwa hcho kinanukia shombo humo ndani wiki tisa
vidonge hivo nitapata wapi na bei gsni mkuuwait mkuu nikipata pia kuna vidonge vya kuweka chini ya karpet ila ni kama zile za kwenye gari tu unaweka chini chini huko mvunguni zinaleta hewa nzuri tu ndani ila ufungue madirisha
Mkuu mara nyingi harufu inatokana na vyakula unavyopika sio uchafu wa nyumba tu huleta harufu. Harufu ya chakula wakati wa kupika huishia kwenye macouch pazia carpet etcLengo la kutaka nyumba kunukia (tofauti na uhalisia wake) huwa ni nini? Je ni kuficha harufu mbaya(ya uchafu)? Kama kuna uchafu unatoa harufu mbaya si ni bora kuutoa huo uchafu?
Mkuu Ngabu huwa ni konyo sana......hata hivyo hunipa morali sana ya kutafuta vizuri.......
****Wanafukiza amma udi (oud) amma perfume.
Zipo perfumes na vitezo vyake za kufukiza. (google "perfume burners").
Nyani Ngabu sio vizuri kujikausha.Msaidie kijana mwenzakoNyani Ngabu,, natafuta kazi ya udereva kokote naomba unisaidie please lessen yangu ni class E elimu kidato cha 4
Nyani Ngabu sio vizuri kujikausha.Msaidie kijana mwenzako
Hapana sijui kama uma mafans humuHahaa...huyo sidhani kama anahitaji msaada.
Nahisi atakuwa mmoja wa wale fans wangu wanaopenda kunifuatilia kwa ukaribu na kunizingua zingua.
Si unafahamu kuwa nina ma fans wengi humu?
Hapana sijui kama uma mafans humu
Number ya simu wanaitoa wapi?Ok ndio maana wengine hadi pm wanakufata au wewe kuna mafans wako wengine unawafataga mwenyewe??Oh kumbe..
Ninao wengi mno.
Wakinimiss sana huwa wanashindwa kujizuia na kuanza kunitafuta kwa hali na mali.
Wengine hadi wanafikia hatua ya kunipigia simu na kuficha namba zao halafu nikipokea hawasemi kitu, wanaishia kuogopa tu.
Number ya simu wanaitoa wapi?Ok ndio maana wengine hadi pm wanakufata au wewe kuna mafans wako wengine unawafataga mwenyewe??
MweeeehUnaliza namba yangu wanaitoa wapi?
Kumbe huwajui ma fans wewe.
Hao huwa 'wanamjua' mtu zaidi ya hata ajijuavyo yeye.
****
KUFUKIZA UDI ,HII KWA WAPEMBA BANA,UDI UNAI TA VINGI MNO.
****Kwa hiyo ule unaofukizwa makanisani hususan la Katoliki unatuambia kuwa wanaita "vitu vingi mno".
Just for your info, udi ni manukato.
Na inzi tunapenda harufu chafuMajini yanapenda harufu nzuri.